CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Juma kahtib a.k.a Nugaz alifanyiwa fitna na msukule hadi akapoteza kazi pale utopoloni lakini cha kushangaza majina ya wahamasishaji bora kwenye tuzo za TFF yametoka lakini Jina la Nugaz halipo kwenye list.
Unless ile data ya kwamba mwaka jana utopwenga ndiyo waliongoza kwa kuingiz mashabiki uwanjani ni ya uongo basi itakuwa sahihi kutomweka Nugaz ila kama ni kweli utopolo ndiyo waliingiza mashabiki wengi basi NUGAZ SIYO TU AWEKWE KWENYE CATEGORY ILA APEWE KABISA USHINDI maana kazi yake ilikuwa ni afisa uhamasihaji kabla ya kufanyiwa fitna na msukule hadi mkataba haukuongezwa
FITNA zimefika hadi huko jamani? si kazi ashakosa hadi tuzo ambayo ni halali yake?
Unless ile data ya kwamba mwaka jana utopwenga ndiyo waliongoza kwa kuingiz mashabiki uwanjani ni ya uongo basi itakuwa sahihi kutomweka Nugaz ila kama ni kweli utopolo ndiyo waliingiza mashabiki wengi basi NUGAZ SIYO TU AWEKWE KWENYE CATEGORY ILA APEWE KABISA USHINDI maana kazi yake ilikuwa ni afisa uhamasihaji kabla ya kufanyiwa fitna na msukule hadi mkataba haukuongezwa
FITNA zimefika hadi huko jamani? si kazi ashakosa hadi tuzo ambayo ni halali yake?