njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 1,720
- 3,854
Binafsi napenda sana movies za submarine na destroyers kuna movie ya ww2 inaitwa u boat 571 ebwanee
Wenzako hata ikae majini miezi sita, wanatechnolojia ya kugundua mahala ilipo na wakati. Achana na hizo pande mbili. Hivi unafikiri meli vita za USA zilizopo ghuba hazina ulinzi wowote. Yaani zipo zipo tu kama maboti ya mv.rufijiHizi zinatembea chini ya maji na kwa muundo wake huwa hata huwezi siki kelele na pia wanadai inaweza ibukia chini ya meli na kuipindua.
Meli zote za kivita hasa zile za Marekani za kubebea ndege huwa adui wake mkubwa ni nyambizi.
Na pia zinaweza piga tukio na zikapotea na kumbuka hizi labda uzifukuzie na Nyambizi nyenzake.
Hicho nchi tano ni zipi mkuu?Hapo kuna vitu viwili tofauti, Kuna Nuclear Submarines na pia kuna Ballistic Missile Submarines. Hapo umeongelea zaidi Ballistic Missile Submarines ambazo zinakuwa na Makombora ya Nyuklia yanayojulikana kama SLBMs (Submarine Launched Ballistic Missiles). Mfano wa hizi SLBM ni Trident II ambayo kwa Data zilizopo ndiyo missile yenye nguvu zaidi kuliko zote zinazotumika na Submarines.
Tofauti na hapo, kuna Nuclear Submarines. Hizi ni Submarines zinazoendeshwa kwa kutumia nguvu ama nishati ya Nyuklia. Hizi ndizo Submarines zenye uwezo mkubwa zaidi Duniani na zinaweza kukaa chini ya maji hata miaka 25. Ni mataifa matano (5) tu Duniani wana aina tofauti tofauti ya nyambizi kama hizi. Pia kuna nyambizi za kawaida ambazo hazitumii nishati ya Nyuklia, hizi nchi nyingi tu wanazo.
Mfaransa hayumo?Ktk Silaha ambazo ni Complex kuzitengeneza basi ni Submarines au Nyambizi ni nchi chache sana ambazo zimeweza kumasta technology ya kutengeneza na wengine wamefika mbali zaidi kuweza kuziwekea mfumo wa air independent system hivo ikizama ngoma inakaa miezi mitatu ndani ya maji..Nchi ambazo mpaka sasa zimeweza kutengeneza submarine ni:-
1.Russia
2.US
3.China
4.Germany
5.UK
6.North Korea
7.South Korea
8.Iran
9.Turkey.
10.Brazil
11.Na baadhi ya nchi chache Nchi nyingi wananunua kutoka ktk hizo nchi Tajwa
Story tu hizo. War gameMwaka jana kuna nuclear sub za russia zilifika mpaka us coast bila kugunduliwa na kurudi nyumbani salama.View attachment 1124777
USA, Russian Federation, China, UK, FranceHicho nchi tano ni zipi mkuu?
Haikua war game MzeeStory tu hizo. War game
Ktk Silaha ambazo ni Complex kuzitengeneza basi ni Submarines au Nyambizi ni nchi chache sana ambazo zimeweza kumasta technology ya kutengeneza na wengine wamefika mbali zaidi kuweza kuziwekea mfumo wa air independent system hivo ikizama ngoma inakaa miezi mitatu ndani ya maji..Nchi ambazo mpaka sasa zimeweza kutengeneza submarine ni:-
1.Russia
2.US
3.China
4.Germany
5.UK
6.North Korea
7.South Korea
8.Iran
9.Turkey.
10.Brazil
11.Na baadhi ya nchi chache Nchi nyingi wananunua kutoka ktk hizo nchi Tajwa
Hahahahah
Dude linaishia pembeni mwa Cuba then linaachia vitu kuelekea States pale hahahahhahh
Kama mpenzi wa movie jaribu kutafuta movie inaitwa 'Hunter killer' uone jinsi nyambizi za Marekani na Urusi zinavyowindana.
NI movie nzuri sana hasa kwa wapenzi wa haya Mambo ya teknolojia za kijeshi
Ungeweka na kipande hiki kngependezaAchana na Ndege za kivita za kila aina, Achana na Makombola ya masafa marefu na mafupi na achana na Meli za kila aina za kivita.
Submarine ndo inabakia kuwa siraha za kuogofya na za hatari sana.
Ukimuona Murusi anacho hofia sio zile ndge za kivita wala Meli za kivita za Marekani bali ni Nyambizi za kivita za Marekani
Hivyo hivyo Marekani kinacho mkosesha usingizi ni Nyambizi za kivita za Urusi.
Nyambizi hasa zinaweza kubeba siraha za Nuclera zinatajwa kuwa za hatari mno.
Nyambizi ni zs hatari kutokana na nature yake hasa ya kuweza kukaa kwenye maji hadi siku 100 bila kuibuka juu.
Nyambizi za Urusi zinaweza piga misele hadi jirani na pwani ya Marekani.
Na kwa sasa nyingi ni za kubeba Silahara za Nuclera na hata Conventional.
Moja ya nyambizi za kushambulia zilizo za hatari mno.
1.Seawolf Class (USA
2.Graney class (Russia)
Na zingine nyingi tu.
View attachment 1124035View attachment 1124036
Warusi wamejificha kwenye barafu karibu na nje ya maji kuongeza interference kwa torpedoCheki scene hiyo mkuu ni moja kati ya scene matata kutoka movie ya hunter killerView attachment 1125740
Warusi wamejificha kwenye barafu karibu na nje ya maji kuongeza interference kwa torpedo
Yeah...ila kuna wengine mwanzoni waliwalipua wamarekaniNdio hao waliolipuliwa?
Yeah...ila kuna wengine mwanzoni waliwalipua wamarekani
Mkuu Ukiicheki utaelewa kwanini zilikutanaSema sidhani kama itakua rahisi Submarines kukutana hivyo maana ni chache sana, wote wawili (I mean US&Russia) wana around 50 Submarines each
Mkuu Ukiicheki utaelewa kwanini zilikutana
Zote zilitumwa eneo Hilo ndo maana zilikutana,ndo maana nakwambia Ukiicheki utaelewaMabahari makubwa sana mkuu, sasa idadi hiyo ndogo ya hizo Submarines ndio zikutane hivyo?
Hatari sana mkuu pia wame onyeaha tropedo inaweza kuendeshwa na mtu wa ndani ya submarine ili kukwepa anti submarine.Warusi wamejificha kwenye barafu karibu na nje ya maji kuongeza interference kwa torpedo