siungeandika kiswahili tu!Kweli alikiba yuko over rated ila sijawahi ona wimbo wake mzuri
Diamond anajioverrate
Tangu lini kipofu akaona?Kweli alikiba yuko over rated ila sijawahi ona wimbo wake mzuri
Diamond anajioverrate
hata hyo ya kunominee inafata nini mbona wakali wengi tu wanaachwa ? mtu achukue fomu raia tuamue kuwe na nominees hata elfu raia tuamueTuzo gani unaenda kuchukua fomu kama unataka kushiriki Miss Temeke.
Si kweli mkuu mbona Navy kenzo kawabwaga Sauti Sol kwenye kundi bora na hawajasema hajastahili...zaidi wamepongeza tu kwamba Navy kenzo wako vizuriKwani Kenya wao ndio wana roho nzuri sana au ndio taifa linasolema ukweli?! Kama hata hawajui ni video gani inastahili kushinda ya Diamond why waseme yeye ndio alistahili?! Wana unafiki tu hao kama Diamonda angepata tuzo hiyo na awe ameshindanishwa na msanii wa kenya wangesema Diamond hakustahili ilitakiwa iende Kenya.