Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,440
Hellow CC
Binafsi nimeumizwa sana na huu msiba wa Sharobaro coz nilikuwa nampenda sana kuliko msanii yeyote nchini. Kwa kweli nimepoteza furaha yote..kifupi niko kwenye majonzi sana.
Naomba tujumuike kumuombea na binafsi ntakuwa kwenye maombolezo hadi baada ya mazishi.
Hivyo naomba tuonane baada ya mazishi yake!
RIP Sharobaro!
I remain
Erickb52
Binafsi nimeumizwa sana na huu msiba wa Sharobaro coz nilikuwa nampenda sana kuliko msanii yeyote nchini. Kwa kweli nimepoteza furaha yote..kifupi niko kwenye majonzi sana.
Naomba tujumuike kumuombea na binafsi ntakuwa kwenye maombolezo hadi baada ya mazishi.
Hivyo naomba tuonane baada ya mazishi yake!
RIP Sharobaro!
I remain
Erickb52