Ntakufaje mzima?

Jamer winner

Member
Aug 9, 2011
22
2
Daktari mmoja alikuwa mlevi mpaka ikabidi apelekwe kwenye sektarieti ya maadili na mahojiano yalikua hivi; kiongozi:kwanini unalewa kwa kiwango hicho wakati unajua madhara ya pombe! daktari:asante sana,hivi unajua wote tutakufa sasa kwanini nife na mapafu na maini mazima?
 
Back
Top Bottom