Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Lakini akijibu hoja hiyo, Mbowe alisema kampuni zake zilikopa Sh milioni 15 kutoka NPF takribani miaka 25 iliyopita (kabla haijawa NSSF) na kwamba mkopo huo ulishalipwa.
Mbowe alisema kinachodaiwa ni riba inayotokana na serikali kukosea hesabukiasi cha kutojua wanadai kiasi gani, ingawa ameshalipa zaidi ya shilingi milioni 80 zikiwa ni mkopo na riba.
Mbowe, alisema mawaziri hao wameshindwa kujibu hoja ya msingi iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyewaita na kuwataja kwa majina baadhi ya mawaziri na `wabunge ombaomba' katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
Mbowe alisema kinachodaiwa ni riba inayotokana na serikali kukosea hesabukiasi cha kutojua wanadai kiasi gani, ingawa ameshalipa zaidi ya shilingi milioni 80 zikiwa ni mkopo na riba.
Mbowe, alisema mawaziri hao wameshindwa kujibu hoja ya msingi iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyewaita na kuwataja kwa majina baadhi ya mawaziri na `wabunge ombaomba' katika mifuko ya hifadhi ya jamii.