themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 965
- 3,277
Ukiona kampuni inalipa matangazo na kufanya udhamini kwenye matamasha makubwa basi jua inafanya hivyo kimkakati hasa kubrand bidhaa zao na kuzidi kujiongezea wateja ndio maana wanaingia garama kubwa kulipa matangazo na kufanya udhamini ili kujitangaza
Sasa kwa hapa Tz NSSF ni kama haina mshindani maana Seriakali ilishaunganisha mifuko yote wakaacha miwili tu yaani ukiwa sekta binafsi utake usitake NSSF itakukuhusu tu, mean hawaepukiki ina maana hawana sababu ya kuchota pesa tena za wanachama na kwenda kulipia matamasha or matangazo
Ni muda muafaka NSSF wachunguzwe isije ikawa huu uchochoro wa kufanya udhamini kulpia matangazo.kwa garama kubwa ni mradi wa upigaji sababu wanachoma pesa ingali nssf hawana upinzani wowote
Sasa kwa hapa Tz NSSF ni kama haina mshindani maana Seriakali ilishaunganisha mifuko yote wakaacha miwili tu yaani ukiwa sekta binafsi utake usitake NSSF itakukuhusu tu, mean hawaepukiki ina maana hawana sababu ya kuchota pesa tena za wanachama na kwenda kulipia matamasha or matangazo
Ni muda muafaka NSSF wachunguzwe isije ikawa huu uchochoro wa kufanya udhamini kulpia matangazo.kwa garama kubwa ni mradi wa upigaji sababu wanachoma pesa ingali nssf hawana upinzani wowote