Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,300
- 2,716
Kwa ujumla hii mifuko inapokuja suala la mtu kudai mafao wanakuwa na sintofahamu na utadhani sio hela yako ilikatwa.
Haya ni mambo ya kitanzania na ndio utamaduni wetu kupokea zaidi kuliko kutoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni mambo ya kitanzania na ndio utamaduni wetu kupokea zaidi kuliko kutoa
Sent using Jamii Forums mobile app