Hiyo kitu nssf wanataka kuwaingizeni mkenge tu.
Wanadai watazikopesha saccos na si mtu mmoja mmoja. Kwa hiyo kama unataka mpunga tengenezeni saccos kwanza, bila hivyo sahau.
Usanii tu huo achana nayo kama unataka kukopa nenda benk.Hawa nssf si wale waliojenga nyumba wakidai ni kwa ajili ya wanachama wa kipato cha chini huko kigamboni halafu baada ya kumaliza kujenga wakaanza kuziuza bei ya kuanzia milioni 80 mpaka 200 hiyo ndio kumsaidia mwanachama wa kipato cha chini au ni usanii tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.