nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 810
- 2,851
- Thread starter
- #21
Hata JUMBO wameambiwa waondoke, lakini ni kweli JENGO LIMECHAKAA, kuna PANYA WAKUBWA, wanakula hadi nyaya za magari ukiweka parking ya chini, Air condition nyingi hazifanyi kazi, kuna sehemu mvua zikinyesha maji yanaingia ndani, zaidi Generator moja limekufa, hayo yote hayaoni anapigania ujinga ambao hausaidii shirika.Du hata Jumbo Camera,wapangaji wakubwa na wa miaka mingi, kwanza hilo jengo limekuwa kama mahame ni jengo chafu na bado lina maeneo mengi yaliyo wazi,angekuwa mjanja angelifanya kama China Plaza kwa kuligeuza na kuweka viwamba vingi na kupunguza tozo hapo wangeweza kutengeneza biashara.Inaonekana jamaa ana mipango ya kuweka watu wake.