NSSF inachosha, kumbe fao la kujitoa halipo tena mbona mnatusumbua

TULIMAJE

Member
Jun 14, 2017
92
51
Nilienda Mara ya kwanza miezi 4 iliyopita kwaajiri ya madai nikapewa form nirudi tarehe 22 /8/2018 nikaenda tar 28/8 2018.

Nilipofika pale dirishani la Temeke yule kijana aliyepo pale bila kucherewesha akasema ulichukua form lini nikamwambia miezi 4 iliyopita jamaa akanijibu fao La kujitoa halipo limesitishwa.

Nilishanga saana MTU huna kazi na umeshapanga mikakati yako kibiashara halafu kirahisi unaambiwa fao la kujitoa limesitishwa inakera sana.
 
ENI ESI ESI EFU, hawa watu watalaaniwa, ameacha ameivuga Dr dau, Mungu anamuona

mkuu mbona alivyokuwepo mambo yalienda tu na hata hili fao watu walikuwa hawasumbuliwi kifupi lilichukulika kirahisi tu, Pensio mbona wazee walilipwa bila kwere na miradi yao walikuwa wakiifanya tu kila uchwao plus Serikali kukopa.. nafikiri kuna haja yakukaa na hawa wazee wa SAIGONI na kuwahoji vizuri walikuwa wakifanyajefanyaje..
 
mkuu mbona alivyokuwepo mambo yalienda tu na hata hili fao watu walikuwa hawasumbuliwi kifupi lilichukulika kirahisi tu, Pensio mbona wazee walilipwa bila kwere na miradi yao walikuwa wakiifanya tu kila uchwao plus Serikali kukopa.. nafikiri kuna haja yakukaa na hawa wazee wa SAIGONI na kuwahoji vizuri walikuwa wakifanyajefanyaje..

Acha ujinga nssf liquidity ilikuwa mbaya sana, hukumbuki watu waliandamana kwenda kuchukua vyombo vya habari pale nssf ilivyokuwa mlimani tower kisa wameenda benk wakakosa pesa siku tatu mfululizo,yule dau ndo aliharibu kabisa,unaposema vitegauchumi ndo hayo majengo yasiyo na wapangaji, kwa sababu ya 10%
 
Acha ujinga nssf liquidity ilikuwa mbaya sana, hukumbuki watu waliandamana kwenda kuchukua vyombo vya habari pale nssf ilivyokuwa mlimani tower kisa wameenda benk wakakosa pesa siku tatu mfululizo,yule dau ndo aliharibu kabisa,unaposema vitegauchumi ndo hayo majengo yasiyo na wapangaji, kwa sababu ya 10%

brother acha uongo, nimefanya kazi kwenye sekta ambayo watu huchukua NSSF karibia kila siku, Awamu ya nne hakuna aliyenyimwa NSSF labda kama unaishi kwa kusikia sikia ninachokwambia ni uhalisia. Awamu ya nne ulitokea mgogoro pale SSRA walipotaka kuliondoa hili fao ndipo JAFFO alipopatia umaarufu kwa kuzunguka migodini na kufanya vikao ili fao lisifutwe na Mkwere alivyopelekewa hiyo kitu hakusign mambo yakaendelea, Nawajua wengi na mimi mwenyewe nikiwepo kama miongoni watuliochukua hili fao awamu ya nne.
 
Wadau tunahitaji kujua kinachoendelea NSSF kuhusu fao la kujitoa au fao la kukosa ajira. Binafsi nimekwenda NSSF kudai changu ila majibu niliyopewa ni kuwa HAWAPOKEI TENA MADAI.

Nimejaribu kutafuta ufafanuzi kutoka kwa meneja wa tawi. Jibu alilonipa ni kuwa hayo ni maagizo kutoka juu na kwamba NSSF kwa sasa hata haina board na hana maelezo zaidi.

Kwa wale ambao tayari ni victims wa kukosa ajira na fedha zao naombeni tusaidiane kujua zaidi nini kinachoendelea NSSF.

Kuna mtu anaishi bure ikulu, analipwa mshahara, analishwa bure yote hayo kwa kodi za watanzania lakin kama vile haitoshi akiondoka ikulu tutaendelea kumlipa maisha yake yote mshahara sawa na 80% ya mshahara wa wale wote watakaofuata kuishi ikulu.

Sasa cha ajabu huyu anayeishi bure ndo amepewa mamlaka ya kuwaamulia kina sisi ikiwa tulipwe au tufie mbali. Ni wakati wakujua kama ameamua tufie mbali yeye.

Wenu Kaziutumishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga nssf liquidity ilikuwa mbaya sana, hukumbuki watu waliandamana kwenda kuchukua vyombo vya habari pale nssf ilivyokuwa mlimani tower kisa wameenda benk wakakosa pesa siku tatu mfululizo,yule dau ndo aliharibu kabisa,unaposema vitegauchumi ndo hayo majengo yasiyo na wapangaji, kwa sababu ya 10%
We utakuwa senges professional, mwambie hiyo pombe iachane na hela zetu NSSF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
brother acha uongo, nimefanya kazi kwenye sekta ambayo watu huchukua NSSF karibia kila siku, Awamu ya nne hakuna aliyenyimwa NSSF labda kama unaishi kwa kusikia sikia ninachokwambia ni uhalisia. Awamu ya nne ulitokea mgogoro pale SSRA walipotaka kuliondoa hili fao ndipo JAFFO alipopatia umaarufu kwa kuzunguka migodini na kufanya vikao ili fao lisifutwe na Mkwere alivyopelekewa hiyo kitu hakusign mambo yakaendelea, Nawajua wengi na mimi mwenyewe nikiwepo kama miongoni watuliochukua hili fao awamu ya nne.
Achana na hilo puga linanufaika na yanayoendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
brother acha uongo, nimefanya kazi kwenye sekta ambayo watu huchukua NSSF karibia kila siku, Awamu ya nne hakuna aliyenyimwa NSSF labda kama unaishi kwa kusikia sikia ninachokwambia ni uhalisia. Awamu ya nne ulitokea mgogoro pale SSRA walipotaka kuliondoa hili fao ndipo JAFFO alipopatia umaarufu kwa kuzunguka migodini na kufanya vikao ili fao lisifutwe na Mkwere alivyopelekewa hiyo kitu hakusign mambo yakaendelea, Nawajua wengi na mimi mwenyewe nikiwepo kama miongoni watuliochukua hili fao awamu ya nne.
ni kweli nakumbuka awamu ya nne nilivuta mpunga wangu faster ,ilichukua wiki mbili tu nikapewa cheque yangu.
Awamu ya tano kwa kweli hawajatutendea haki,pesa ni zetu sijui wanaona ugumu gani kutuoatia pesa zetu ,kama chao walishachukua kupitia PAYE sasa sijui hizi zetu nazo wanatuzurumu kwa nn..
 
Mod hi thread usiunganisha popote maana ni kwa ajili ya WATANZANIA waliokosa AJIRA na wana shida sana na fedha zao pale NSSF.

Wadau tunahitaji kujua kinachoendelea NSSF kuhusu fao la kujitoa au fao la kukosa ajira. Binafsi nimekwenda NSSF kudai changu ila majibu niliyopewa ni kuwa HAWAPOKEI TENA MADAI.

Nimejaribu kutafuta ufafanuzi kutoka kwa meneja wa tawi. Jibu alilonipa ni kuwa hayo ni maagizo kutoka juu na kwamba NSSF kwa sasa hata haina board na hana maelezo zaidi.

Kwa wale ambao tayari ni victims wa kukosa ajira na fedha zao naombeni tusaidiane kujua zaidi nini kinachoendelea NSSF.

Kuna mtu anaishi bure ikulu, analipwa mshahara, analishwa bure yote hayo kwa kodi za watanzania lakin kama vile haitoshi akiondoka ikulu tutaendelea kumlipa maisha yake yote mshahara sawa na 80% ya mshahara wa wale wote watakaofuata kuishi ikulu.

Sasa cha ajabu huyu anayeishi bure ndo amepewa mamlaka ya kuwaamulia kina sisi ikiwa tulipwe au tufie mbali. Ni wakati wakujua kama ameamua tufie mbali yeye.

Wenu Kaziutumishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ni uonevu tu, halafu hata bora maisha yangekuwa na unafuu huku mtaani. Wamevuruga uchumi na sasa wanatudhulumu mafao yetu. Hii mijitu ilaaniwe, halafu kuna fisi wanaungana nao na kusabisha chaguzi za marudio wanasema eti wanaunga mkono juhudi. Nchi ya vichaa hii
 
brother acha uongo, nimefanya kazi kwenye sekta ambayo watu huchukua NSSF karibia kila siku, Awamu ya nne hakuna aliyenyimwa NSSF labda kama unaishi kwa kusikia sikia ninachokwambia ni uhalisia. Awamu ya nne ulitokea mgogoro pale SSRA walipotaka kuliondoa hili fao ndipo JAFFO alipopatia umaarufu kwa kuzunguka migodini na kufanya vikao ili fao lisifutwe na Mkwere alivyopelekewa hiyo kitu hakusign mambo yakaendelea, Nawajua wengi na mimi mwenyewe nikiwepo kama miongoni watuliochukua hili fao awamu ya nne.
Long live Dr Dau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mod hi thread usiunganisha popote maana ni kwa ajili ya WATANZANIA waliokosa AJIRA na wana shida sana na fedha zao pale NSSF.

Wadau tunahitaji kujua kinachoendelea NSSF kuhusu fao la kujitoa au fao la kukosa ajira. Binafsi nimekwenda NSSF kudai changu ila majibu niliyopewa ni kuwa HAWAPOKEI TENA MADAI.

Nimejaribu kutafuta ufafanuzi kutoka kwa meneja wa tawi. Jibu alilonipa ni kuwa hayo ni maagizo kutoka juu na kwamba NSSF kwa sasa hata haina board na hana maelezo zaidi.

Kwa wale ambao tayari ni victims wa kukosa ajira na fedha zao naombeni tusaidiane kujua zaidi nini kinachoendelea NSSF.

Kuna mtu anaishi bure ikulu, analipwa mshahara, analishwa bure yote hayo kwa kodi za watanzania lakin kama vile haitoshi akiondoka ikulu tutaendelea kumlipa maisha yake yote mshahara sawa na 80% ya mshahara wa wale wote watakaofuata kuishi ikulu.

Sasa cha ajabu huyu anayeishi bure ndo amepewa mamlaka ya kuwaamulia kina sisi ikiwa tulipwe au tufie mbali. Ni wakati wakujua kama ameamua tufie mbali yeye.

Wenu Kaziutumishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilivyo ni kwamba kwa wale woote waliofungua madai kuanzia April 2018 imeamriwa wasishughulikiwe kwanza mpaka baadae. Wanaofikiria kufungua sasa watakuwa treated with accordance to the new low(ie FAO LA kukosa ajira). Thanks God Mimi nimezivuta last month.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom