Mwanakijiji mimi namshangaa huyu DAU ambaye amejipa uwaziri binafsi ndani ya serikali hamisha pesa Uswisi. Kuna wanachama wa NSSF wanaishi maisha mabovu hasa hasa katika suala la upangaji wa nyumba. Pesa zao zimekuwa zinapigiwa chapuo na CCM kutekeleza ahadi za Kikwete ili hali maisha ya wanachama wa Taasisi hii iko duni sana. HAkuna mradi wa unafuu uliwahi elekezwa kwa wanachama wa mfuko huu.
Kuna wanaJF humu wanataka Mwanakijiji asemee mifuko mingine kama PPF na mingineyo sasa sijui wao ndo Mwanakijiji. Kwani wao hawapo kujadiri hata uzuri wa hiyo mifuko??
Kuna wanaJF humu wanataka Mwanakijiji asemee mifuko mingine kama PPF na mingineyo sasa sijui wao ndo Mwanakijiji. Kwani wao hawapo kujadiri hata uzuri wa hiyo mifuko??