Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,300
- 2,716
Nilibahatika kufika Nssf Ubungo plaza. Kiukweli Hali no mbaya Sana kwa wateja halafu kwanini sekta hi mfanyakazi anapokuja kudai mafao yake anaonekan Kama ni ombaomba fulani.
Nadhani Kuna haha ya mheshimiwa Waziri aliangalie hili suala kwa kweli tuna Safari ndefu kama taifa kwa Ofisi ya mafao kuhudumia wateja kwa dharau , ubabe,
Suala Kama la form kwanini zisiwekwe online kila anayehusika aijaze halafu aidrop maisha rahisi. Lakini kufuata form tu ni msongamano plus vurugu plus vikwazo mara muhuri ukae wapi.
Completely ridiculous Nssf. Nadhani IT ingesaidia tu mtu ukitaka statement yako ya mchango una log in online unaipataje sio mpaka upange foleni msukumane.
Hili shirika linabidi liangaliwe upya je wanaendana na Kasi ya Happ kazi tu.
Sisi wateja ndio tunaotoa makato lakini tunapohitaji huduma kwenu mnatunyanyasa Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani Kuna haha ya mheshimiwa Waziri aliangalie hili suala kwa kweli tuna Safari ndefu kama taifa kwa Ofisi ya mafao kuhudumia wateja kwa dharau , ubabe,
Suala Kama la form kwanini zisiwekwe online kila anayehusika aijaze halafu aidrop maisha rahisi. Lakini kufuata form tu ni msongamano plus vurugu plus vikwazo mara muhuri ukae wapi.
Completely ridiculous Nssf. Nadhani IT ingesaidia tu mtu ukitaka statement yako ya mchango una log in online unaipataje sio mpaka upange foleni msukumane.
Hili shirika linabidi liangaliwe upya je wanaendana na Kasi ya Happ kazi tu.
Sisi wateja ndio tunaotoa makato lakini tunapohitaji huduma kwenu mnatunyanyasa Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app