father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 835
- 642
13 dollars for soft porn?...I don't think so
teh teh teh, a dollar 99 should do it.
Aibu iliyoje mtu anaposhindwa kuficha roho ya kwanini..........................!
13 dollars for soft porn?...I don't think so
teh teh teh, a dollar 99 should do it.
Mi ni Mwali Michael Scofield. Usiwe unanidhania bureAsante kwa ufafanuzi wako Mzee Mwanakijiji...! otherwise Mwali tungemuweka kikaangoni atoe ufafanuzi kuna nini mpaka yeye awe mtu wa kwanza kupata hicho kitabu...?
Can u believe this; nimepatiwa invoice ya milioni 129 kuchapisha hiki kitabu!!!! VAT asilimia 18... nadhani China ni bora zaidi
Asante kwa ufafanuzi wako Mzee Mwanakijiji...! otherwise Mwali tungemuweka kikaangoni atoe ufafanuzi kuna nini mpaka yeye awe mtu wa kwanza kupata hicho kitabu...?
Aibu iliyoje mtu anaposhindwa kuficha roho ya kwanini..........................!
'Roho ya kwanini 'kwa lipi hasa? Hebu nenda hukohuko Amazon ukaangalie paperback za best-sellers za globally-recognized authors zinauzwa kwa sh ngapi? kama hujui vitu ni bora ukaendelea kuishi huko huko pangoni ulipo badala ya kuibuka na kudhihirisha utupu wako.Aibu iliyoje mtu anaposhindwa kuficha roho ya kwanini..........................!
why would i hate you? i don't even know u, none that i care nways.Wengine tushazoea haya; na ukiwajali sana watu kama hawa huwezi kufanya lolote lile. Wenyewe wanasema "make your haters be your motivators"!
boss, do ya thing.guess what; I could have given it for free na watu wangeshukuru kweli!
guess what; I could have given it for free na watu wangeshukuru kweli!
Wenyewe wanasema "make your haters be your motivators"!
Kwa gharama hizo unaweza kupata picha kwa nini reading is a luxury huku.
na ndio maana watu wa nje wanatutawala kwa standards zao sababu
tunazaliwa na kukua tukisoma Cinderella na Snow White, tunaamini
kua mweupe na straight hair ndio alama ya uzuri. (na kuolewa na mzungu)
tungekua na printing industry nzuri na kodi ziwe rahisi in that sector
hata sisi tungeweza ku-promote culture yetu kama wanavo fanya wazungu, ati?
13 dollars for soft porn?...I don't think so
why would i hate you? i don't even know u, none that i care nways.
Bila ya shaka yoyote watu hushukuru kwa kupewa kitu for free.
Tanabahi:
Hata magazeti ya Shingongo yakitolewa bure watu watashukuru kweli
Wengine tushazoea haya; na ukiwajali sana watu kama hawa huwezi kufanya lolote lile. Wenyewe wanasema "make your haters be your motivators"!
sijajua tatizo lako ni nini hasa? ulitegemea upongezwe na kila mtu? kama anayekukosoa au kupingana na wewe basi ni hater basi wewe ndiye king of haterlandia, angalia jumla ya mipost yako! 26K + na most of them is about bitching and dishing-out criticism to others, lakini unapoguswa wewe una-throw tantrum..lolzunafikiri watu wana sababu basi ya kumchukia mtu...
sijajua tatizo lako ni nini hasa? ulitegemea upongezwe na kila mtu? kama anayekukosoa au kupingana na wewe basi ni hater basi wewe ndiye king of haterlandia, angalia jumla ya mipost yako! 26K + na most of them is about bitching and dishing-out criticism to others, lakini unapoguswa wewe una-throw tantrum..lolz
aah wapi, kama umenisoma sana utaona wala sina tatizo hilo la kukosolewa; yawezekana hakuna mtu humu ambaye anapata ukosoaji mkubwa kuliko mimi and I take it all with a smile. Msemo niliotumia hapo wala hauna maana mtu ana chuki sana na mimi bali naweka point tu kuwa wapo wengine ambao wanakukosoa kwa sababu hawapendi tu unachofanya. Kama ni kunikosoa tu wala sijawahi kutatizwa na wala siwezi kuanza leo. Ukijisikia kukosoa fanya tu kwa raha zako.
Na utaona hata hizo posts zangu hakuna hata moja ambayo nimemkosoa mtu kwa sababu simpendi au nina chuki naye. NONE. I can give out punches as well as I can get some.
Na hilo laweza kusemwa kwako vile vile.ok dude, nafikiri ujumbe umekufikia kuwa kuna pande 3 za shilingi.
hapan'shakaNa hilo laweza kusemwa kwako vile vile.