umeanza na Dettol, ikawa JIK sasa hapo kitafuta nini kama si kunitupia na miOMO kwenye washing mashine...!!!
unaninyanyasa kijinsi jamani...
Na kesho nikikuogesha nakukata dudu.
teh teh.... utamkomza bure... subiri afikishe 2mnth lol!!!
we hufai kulea mtoto khaaa!!!
jamani madam b hauchoki kuruka ruka jamani(avatar)Mtoto wa makaratasi naweza kumlea.
shukran,najipimia siku 2 from leo na mimi nisherekeeShukrani sana mkuu...barikiwa wewe!!!