Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
[SUB]kwanini?. Novel na tamthilia nyingi huonyesha wapenzi wakipata shida sana kabla ya ndoa, halafu huishia kuoana na
kuishi raha mustarehe yaani wakioana mwisho wa matatizo! na watu wengi huanza kuamini hivyo. kivumbi wakiingia
kwenye ndoa vitu ni tofauti na walivyo fantasize hapo ndipo migogoro, kutoridhika, kukosa raha na divorce huanza.
uzuri huwa sisomi wala kuangilia hayo masuala! ole wao wayapendao mambo hayo maana siku za ndoa zao zinahesabika.[/SUB]
kuishi raha mustarehe yaani wakioana mwisho wa matatizo! na watu wengi huanza kuamini hivyo. kivumbi wakiingia
kwenye ndoa vitu ni tofauti na walivyo fantasize hapo ndipo migogoro, kutoridhika, kukosa raha na divorce huanza.
uzuri huwa sisomi wala kuangilia hayo masuala! ole wao wayapendao mambo hayo maana siku za ndoa zao zinahesabika.[/SUB]