kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Ndugu wana jamii nimeamua kuleta hii topic kwenu baada ya kuangalia kwa kina tatizo la mrundikano wa watu hasa kwenye ma benki yetu hapa nchini.
Siku moja nilikua benk ya NBC pale makambako Iringa na foleni ilikua ina watu kama 15 tu lakini ilinichukua masaa mawili kufika kwa cashier na ma cashier walikua watatu. Kilichotokea ni kwamba kila aliekua anaenda pale dirishani alikua na mzigo wa hela ambao ulikua unamfanya Teller atumia hata dk 15 kuhesabu
Pia saizi mtu kua na laki 5 na kuendelea za matumizi ya kawaida ni kawaida tu kwa watanzania. uwekaji wake unakua mgumu sana hasa tunapokua matembezini na kwenye shughuli zingine.
Serikali inashindwa kukubali tu kua thamani ya fedha katika nchi yetu imeshuka sana hivyo ni muhimu wakachapisha noti mpya za shilingi elfu hamsini na laki moja kutuondolea usumbufu
Siku moja nilikua benk ya NBC pale makambako Iringa na foleni ilikua ina watu kama 15 tu lakini ilinichukua masaa mawili kufika kwa cashier na ma cashier walikua watatu. Kilichotokea ni kwamba kila aliekua anaenda pale dirishani alikua na mzigo wa hela ambao ulikua unamfanya Teller atumia hata dk 15 kuhesabu
Pia saizi mtu kua na laki 5 na kuendelea za matumizi ya kawaida ni kawaida tu kwa watanzania. uwekaji wake unakua mgumu sana hasa tunapokua matembezini na kwenye shughuli zingine.
Serikali inashindwa kukubali tu kua thamani ya fedha katika nchi yetu imeshuka sana hivyo ni muhimu wakachapisha noti mpya za shilingi elfu hamsini na laki moja kutuondolea usumbufu