M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Wanajamvi,
Kumbukumbu zangu zinaonesha ni miezi tisa sasa tangu noti mpya ziingizwe kwenye mfumo wetu wa kifedha. Imebaki miezi michache mwaka uishe, lakini bado naziona noti za zamani bado zimezagaa mitaani.
Kuna kipindi nakamata noti za zamani tu, tena kutoka kwenye taasisi za kifedha. Nilitegemea taasisi kama benki ingesaidia kuziondosha hizi za zamani kwa kuwapatia wateja wao zile mpya kupitia ATM machines au Kaunta zao.
Wakuu, naomba wenye kufahamu ni muda gani labda hizi noti za zamani zitakwisha atujuze. Je, ni mwaka mmoja, miwili au haifahamiki au hata kukisia ni ngumu?
Nawasilisha!
Kumbukumbu zangu zinaonesha ni miezi tisa sasa tangu noti mpya ziingizwe kwenye mfumo wetu wa kifedha. Imebaki miezi michache mwaka uishe, lakini bado naziona noti za zamani bado zimezagaa mitaani.
Kuna kipindi nakamata noti za zamani tu, tena kutoka kwenye taasisi za kifedha. Nilitegemea taasisi kama benki ingesaidia kuziondosha hizi za zamani kwa kuwapatia wateja wao zile mpya kupitia ATM machines au Kaunta zao.
Wakuu, naomba wenye kufahamu ni muda gani labda hizi noti za zamani zitakwisha atujuze. Je, ni mwaka mmoja, miwili au haifahamiki au hata kukisia ni ngumu?
Nawasilisha!