Note 3 haisomi mtandao.

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,904
Wakuu habari za wakati huu.

Nina sim yangu samsung note 3 imegoma kusoma mtandao toka asubuhi. Mtandao wa internet hauna shida inasoma kama kawaida ila sipigi wala kupokea sim.

Kila nikipiga naambiwa not registered in network. Nimejaribu kubadilisha line lakini zote naambiwa sijasajiliwa kwenye network. Inasoma mtandao na huduma za internet ziko poa ishu ni voice calls.

Imekuaje au nifanyeje?. Msasda wenu wakuu.
 
Wakuu habari za wakati huu.

Nina sim yangu samsung note 3 imegoma kusoma mtandao toka asubuhi. Mtandao wa internet hauna shida inasoma kama kawaida ila sipigi wala kupokea sim.

Kila nikipiga naambiwa not registered in network. Nimejaribu kubadilisha line lakini zote naambiwa sijasajiliwa kwenye network. Inasoma mtandao na huduma za internet ziko poa ishu ni voice calls.

Imekuaje au nifanyeje?. Msasda wenu wakuu.
Taarifa simu nyingiza samsung og imei zake zili corrupt lakini zamani zilikuwa zina fanya kazi (chukua hatua)
 
Simu yako inatakiwa kufanyiwa marekebisho, inawezekana kabisa imei yake iliopo nyuma ya battery na Ile inayo patikana kwa *#06# ipo tofauti, hiyo inaweza kuwa duplicate ikazimwa na tcra na hii utokea sana kwa Samsung nyingi kwa sababu, nyingi ni used kutoka nje na zinakuwa zimefanyiwa mabadiliko ya namna fulani hiyo tafuta msaada kwa mapigwa wa ku repair simu za Samsung original, si kila kitanda ukiona neno Fundi simu wanaweza
 
Wakuu habari za wakati huu.

Nina sim yangu samsung note 3 imegoma kusoma mtandao toka asubuhi. Mtandao wa internet hauna shida inasoma kama kawaida ila sipigi wala kupokea sim.

Kila nikipiga naambiwa not registered in network. Nimejaribu kubadilisha line lakini zote naambiwa sijasajiliwa kwenye network. Inasoma mtandao na huduma za internet ziko poa ishu ni voice calls.

Imekuaje au nifanyeje?. Msasda wenu wakuu.
Hata Note II yangu mkuu inatatizo kama lako, sijui nini tatizo
 
Hata Note II yangu mkuu inatatizo kama lako, sijui nini tatizo
Nimewasiliana na watu wa tcra wamesema simu yangu ina dublicate imei hivyo kuanzia jana wamefungia au kufuta sim zote zenye imei dublicate au zaidi.

Simu yangu inaweza kua na tatizo kama langu hvyo itakua watu walidublicate imei za hizi sim. Ni hasara tu mkuu.
 
Simu yako inatakiwa kufanyiwa marekebisho, inawezekana kabisa imei yake iliopo nyuma ya battery na Ile inayo patikana kwa *#06# ipo tofauti, hiyo inaweza kuwa duplicate ikazimwa na tcra na hii utokea sana kwa Samsung nyingi kwa sababu, nyingi ni used kutoka nje na zinakuwa zimefanyiwa mabadiliko ya namna fulani hiyo tafuta msaada kwa mapigwa wa ku repair simu za Samsung original, si kila kitanda ukiona neno Fundi simu wanaweza
Hao mabingwa wanapatikana wapi? Tcra wameniambia sim yangu ni dublicate. Sijui kama inaweza kua repaired au la.
Imei original ni ipi, iliyo nyuma ya betri au ya kubonyeza *06#?
 
Sijaelewa ulichokiandika mkuu.

Lakini pia nichukue hatua gani?
NIMESEMA HIVI SIMU NYINGI ZA SAMSUNG OG MMEKUWA MNAZITUMIA imei ZAKE HAZIFANANI NA ZA KWENYE CHINI YA BETRI AMA PIA ZIME CORRUPT HAPA KUNA VITU VIWILI KU REBUILD imei AMA KUNUNUA SIMU NYINGINE
 
NIMESEMA HIVI SIMU NYINGI ZA SAMSUNG OG MMEKUWA MNAZITUMIA imei ZAKE HAZIFANANI NA ZA KWENYE CHINI YA BETRI AMA PIA ZIME CORRUPT HAPA KUNA VITU VIWILI KU REBUILD imei AMA KUNUNUA SIMU NYINGINE
Ok, na rebuild vp imei mkuu.

Imei origino ni ipi hasa ya chini ya betri au ya kubonyeza *06#.
 
Ok, na rebuild vp imei mkuu.

Imei origino ni ipi hasa ya chini ya betri au ya kubonyeza *06#.
Kihalisia simu nyingi zilizoko mikononi mwa watu nyingi mme nunua mikononi na maanisha siyo dukani pia mmekuwa mna badilisha housing zenye imei tofauti na ya kwenye simu hapa ndiyo patamu kukujibu ni ile ya kwenye simu
 
Back
Top Bottom