MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Ni taarifa ninazopata sasa kutoka kwa mwenyeji wa Ulanga kuwa Professor Mkongwe wa Uchumi, na Mhadhiri wa vyuo vya Makerere na Sua ameshinda kwa kishido huko Ulanga.
Hii ni hazina kubwa sana kwa chadema kujenga misingi imara kwa mwaka 2015 na zaidi
Tafadhali tuwatumie kujijenga baada ya ushindi huu mkubwa katika historia ya Tanzania
Hii ni hazina kubwa sana kwa chadema kujenga misingi imara kwa mwaka 2015 na zaidi
Tafadhali tuwatumie kujijenga baada ya ushindi huu mkubwa katika historia ya Tanzania