Noise pollution: Wamiliki wa subaru, alteza na pikipiki kubwa

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,502
6,403
Imekua ni kero sasa kwa hawa vijana wanaodrive subari alteza na haya mapikipiki makubwa kama baja!

Kiukweli vijana wenzangu hapa mjini (Arusha) mmekuwa ni kero kubwa, hiyo mi vyombo yenu inatupigia kelele na inashtua sana, sijui kwa wagongwa wenye shida na mioyo yao huwa wanajiskiaje!

Mbadilike, kwani izo gari zenu zikilia kwa utaratibu hamfiki huko muendako?
Rekebisheni gari zenu, au kwa hili tu hadi J makamba na NEMC yake wapaze sauti ndio muwasikie?

Mbona majiji mengine hii kitu imepoa sana au ndio ulimbukeni wa home boys wenzangu hapa
 
Wanakera sana hawa vijana,Kuna mda nakubaliana na wanao zichukulia alteza na Baja
ni za wahuni
 
Ndio product zao, ile ni systm inayokuja na gari kutoka kiwandani(hasa subaru). Na wewe unaona linakera coz hujawahi kuendesha yule mnyama ila trust me siku ukiendesha ukajua utamu wake utakuja kutengua huu uzi Mkuu.
Starehe yako isiwe kero kwa mwenzako
 
Starehe yako isiwe kero kwa mwenzako
Kama ni kero waambieni watengenezaji, huwezi kutibu matokeo ukitegemea kupata suluhisho la tatizo. Tutibu chanzo, kama haiwezekani zuieni zisitumike kabisa ili muendeshe Evoc zenu peke yenu.
 
Kama ni kero waambieni watengenezaji, huwezi kutibu matokeo ukitegemea kupata suluhisho la tatizo. Tutibu chanzo, kama haiwezekani zuieni zisitumike kabisa ili muendeshe Evoc zenu peke yenu.
Acha ushamba wewe...kwanza usidhani hizo ni gari za maana, unajidanganya...
Back to topic...hivi wewe leo unaweza kununua mziki mkubwa ukapiga mtaa mzima unasumbua watu alafu unasema tatizo ni mjapani aliyotengeneza? Hivi wewe kweli huko kichwani kuna kitu kimebaki, walau akili za kuombea chenji dukani?
 
Back
Top Bottom