Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Norwegian oil and gas company Equinor inayofanya uzalishaji wa Gasi toka 2007 hapa Tanzania, sasa imeamua kupunguza uwekezaji wake Tanzania katika uzalishaji wa Gasi.
Ijumaa iliyopita, msemaji wa Equinor ASA’s Internation, bwana Erik Haaland, aliliambia gazeti la The citizeni kuwa, mradi wa uzalishaji gesi (Tanzania Liquefied Natural Gas LNG) umekuwa ukiendeshwa kwa hasara hivyo basi management imeamua kupunguza uwekezaji huku akitumia msemo wa kiuchumi kuwa ni " Reducing annual balance sheet value". Hii kwa maelezo mepesi ni kuwa, kampuni imeamua kupunguza madeni yake hivyo basi itabidi baadhi ya assets za kampuni ziuzwe kufidia meadeni.
Hata ivyo, serikali ya Tanzania imesistiza kuwa, haikuwa imefahamishwa juu ya hatua izo maana haikuwa imepata ufafanuzi rasmi kutoka kwenye management ya kampuni.
Hata hivyo huu mradi umekuwa katika mgogoro na serikali toka 2019. Huku wawekezaji wakitaka mradi usiendelee mpaka ionekane utaweza leta faida kiuchumi.
Donath Olomi ambaye ni Mbobezi wa mambo ya Uchumi na ni CEO wa Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED) alijaribu kueleza kuwa sababu kubwa ya uamuzi huo, inatokana na kushuka kwa bei ya Mafuta na Gas katika soko la dunia pamoja na Mazingira yasiyokuwa Rafiki katika uwekezaji hasa mabadiliko katika Production Sharing Agreements (PSAs) hapa Tanzanua.
Source: The citizen 31/1/21
Ijumaa iliyopita, msemaji wa Equinor ASA’s Internation, bwana Erik Haaland, aliliambia gazeti la The citizeni kuwa, mradi wa uzalishaji gesi (Tanzania Liquefied Natural Gas LNG) umekuwa ukiendeshwa kwa hasara hivyo basi management imeamua kupunguza uwekezaji huku akitumia msemo wa kiuchumi kuwa ni " Reducing annual balance sheet value". Hii kwa maelezo mepesi ni kuwa, kampuni imeamua kupunguza madeni yake hivyo basi itabidi baadhi ya assets za kampuni ziuzwe kufidia meadeni.
Hata ivyo, serikali ya Tanzania imesistiza kuwa, haikuwa imefahamishwa juu ya hatua izo maana haikuwa imepata ufafanuzi rasmi kutoka kwenye management ya kampuni.
Hata hivyo huu mradi umekuwa katika mgogoro na serikali toka 2019. Huku wawekezaji wakitaka mradi usiendelee mpaka ionekane utaweza leta faida kiuchumi.
Donath Olomi ambaye ni Mbobezi wa mambo ya Uchumi na ni CEO wa Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED) alijaribu kueleza kuwa sababu kubwa ya uamuzi huo, inatokana na kushuka kwa bei ya Mafuta na Gas katika soko la dunia pamoja na Mazingira yasiyokuwa Rafiki katika uwekezaji hasa mabadiliko katika Production Sharing Agreements (PSAs) hapa Tanzanua.
Source: The citizen 31/1/21
What next for Tanzania’s LNG after Equinor cuts its annual balance sheet value?
Norwegian oil and gas company Equinor has decided to reduce the annual balance sheet value of its Tanzania Liquefied Natural Gas (LNG) project which is, at this time, not competitive within their...
www.thecitizen.co.tz