Norway’s petroleum boss gives tips to TZ

"The government of Norway controls key areas such as the vital petroleum sector, through extensive regulation and large-scale state-majority-owned enterprises"

Kwa hili hapa pia, lazima tufanye kitu! Si kusubiri ka-jimgawo!

Ungejua historia ya Norwegian petrolium development strategies ungeelewa wanchokisema.....Hao watu wamepitia magumu mengi mpaka ku vuna mafuta huko North sea....Watu wao wameteseka na mara kadhaa visima vyao vya majaribio kuungua moto; wafanyakazi kufa na wengine kupoteza viungo vyao na kuwa vilema..uzalendo wa hali ya juu..Leo hii Stavanger mji ambapo petrolium inakuwa exploited ni mji mzuri uliochangamka na uchumi wa Norway nzima kuwa imara si matokeo ya ubinafsi na ufisadi tunao ushadadia sisi raia wa Tanzania...

Kama kuna nchi nitakayo ire-commend kwenye biletaral agreements kwenye sector ya natural resources ni Norway..maana wamei support sana hiyo sector kwa muda mrefu hata kutoa technical assistance kwa human resources zetu. Kumbuka senior officials karibu wote kwenye mali asili wamekuwa trained kule na program zao zilisukwa mahususi kuisaida Tanzania. Kama individuals hawa reflect what has been deposited or imparted to them ni swala la ki-mfumo na selfishness lakini si ujuzi wala uzoefu..Maana walitu-expose mno katika hiyo industry yao ili tujue how they went about and how also we can go about if we want to reflect Norways status of richness katika Africa.
 
Yale yale Zitto anatafuta 10% ya deal! that why anakomalia sasa hayupo tena kwenye madini kakomaa na gas and oil
 
Haya Madini hayaozi tuyakalie mpaka tutakapopata akili........

The Best Ushauri Ever..; and it seems bado hatujapata akili.., tungesuburi next generation (then maybe just maybe....)
 
Norway’s petroleum boss gives tips to TZ
Send to a friend
Friday, 21 September 2012 07:49
digg

By Alawi Masare
The Citizen Reporter
That Mr Johnsen also advised the country to form a state-owned petroleum company under the ministry of Energy and Minerals that would supervise gas and oil drilling and transportation. The company, according to him, would comprise petroleum experts and related fields that would not necessarily be part of the ministry.
Lakini mzungu kasema. Mzungu kutoka Norway watamsikiliza. Japo kasema jambo ambalo limesemwa kitambo na Watanzania.



This is not a guarantee kwamba kuanzishwa kwake kutapunguza uendeshaji mbovu wa sekta hii.
Shirika la STAMICO lipo, lina wataalamu wa madini, lina wanasheria na linapangiwa bajeti yake kila mwaka. Na wana semina kibao, wanapelekwa kusoma nje kila mwaka lakini angalia mikataba yetu ya madini ya dhahabu ilivyo !! Inanikumbusha Mbunge Msigwa alivyosema Bungeni wabunge maprofesa lakini wakienda Bungeni wanaongea kama watoto wa darasa la pili.

SOLUTION: Sio kuunda regulatory authorities zingine, huku ni kuongeza urasimu na mwanya mwingine wa kifisadi.
mwarobaini wa mikataba mibovu ni kuiweka wazi, kuanzia vipengele vyote hadi nani amesaini, lini, wapi , kwa mamlaka gani na kwa maslahi gani kwa taifa. Kam mikataba hii inasainiwa kwa niaba yetu na manufaa yetu, kwa nini tusiione ??
 
Haya Madini hayaozi tuyakalie mpaka tutakapopata akili........

The Best Ushauri Ever..; and it seems bado hatujapata akili.., tungesuburi next generation (then maybe just maybe....)

Kwenye resource economics kuna kitu kinaitwa back stop technology....Is just a matter of time hizo fossils fuels zitakosa market...Kama unajua ku-browse internet tafuta energy policies za dunia uone wenzetu wako busy kufanya nini wakati ss always ni laggers...

Kuna kitu kinaitwa 2020 energy policy ambapo lengo nikupunguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya fossils fuel kwani threat yake kwenye polution ni kubwa mno....Ninauliza swali development strategies zetu zina endana na global perspectives?

Hizi investiment tunazozishangilia ni short term solutions tu ama pengine ni option B tu ile A itakapo fail....Kawaida ya masikini kufurahia kitu bila kujua tajiri anamaanisha nini anapompa zawadi na kumchekea..Tungekuwa serious kwenye issues zetu na wao wangetufanya patners lakini ss bado elimu haijatukomboa hivyo inabidi watuchukulie tu kama binadamu wenzao kwa upendo. Ila kwenye welfare ya dunia hata watufikiri wanapanga kwa niaba yetu ili nasi tusijewaletea aibu kwenye dunia ambayo wao wamo pia.

Nimekutafutia baadhi ya sites zikufungue akili ya nini maana ya kuto-ku-exploit the axplored natural resource at a 'now time' reference..
http://hse-econ.fi/liski/papers/backstop.pdf; http://zielonygrzyb.wordpress.com/2011/07/24/climate-change-backstop-technology-and-thanksgiving/; http://ro.uow.edu.au/cgi/viewcontent.cgi?article=1;

Na kwa wale wenzangu wasio katika field ya economics the wiki can do for you

http://en.wikipedia.org/wiki/Backstop_resources

M-Norway katusaidia kidogo kwakutuambia tulenge 50 years na sisi bila kuelewa maana kubwa ya statements zake tunabaki kupiga makofi...
 
Tanzania kupewa ushauri so openly kutoka nchi moja yenye interests za kibiashara sio proper. Inaonekana kama vile energy policy yetu inakuwa dictated kutoka Oslo.
 
Mwitamaranya nimekusoma vizuri ama? Hivi kweli katika mfumo huu sera inasaidia nini? Sera yoyote nzuri lazima inakuwa operationalized kwenye good legal framework. Vitu basic kama human survival vinashindwa kuwa enforced ndiyo utegemee miracle kwenye mfumo wa serikali ya CCM..You people whats wrong with you?

Jibu kubwa la problem zetu kwa sasa ni M4C through peoples power ili i-up-root and destroy the whole system ili tupate kujenga upya....

Hizi nyinge zote ni geresha tu za watu kutafuta mlango wa kuingia na kutokea ama kuendeleza statusquo zao! Uliona wapi mtu anakata tawi alilokalia?

Mkuu Ame mi nadhani tuko pamoja kabisa katika hili. Nimekuwa na mtazamo huo as temporary measures wakati tukiwa katika kipindi cha mpito kuelekea kufanya regime changes. Sidhani kama ni busara sana kukaa kimya tuwaache wanavuruga rasilimali za nchi kwakuwa tu wako madarakani, ni lazima tuchukue hatua kadhaa kwa ajili ya kupunguza damage kwa taifa, ili itakapofika 2015 panapo majaliwa basi tuweze kupata nafasi ya kuweka sera na sheria kabambe kwa ajili ya ustawi wa nchi kutokana na rasilimali yetu ya madini, mafuta na gesi.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Ame
This is not a guarantee kwamba kuanzishwa kwake kutapunguza uendeshaji mbovu wa sekta hii.
Shirika la STAMICO lipo, lina wataalamu wa madini, lina wanasheria na linapangiwa bajeti yake kila mwaka. Na wana semina kibao, wanapelekwa kusoma nje kila mwaka lakini angalia mikataba yetu ya madini ya dhahabu ilivyo !! Inanikumbusha Mbunge Msigwa alivyosema Bungeni wabunge maprofesa lakini wakienda Bungeni wanaongea kama watoto wa darasa la pili.

SOLUTION: Sio kuunda regulatory authorities zingine, huku ni kuongeza urasimu na mwanya mwingine wa kifisadi.
mwarobaini wa mikataba mibovu ni kuiweka wazi, kuanzia vipengele vyote hadi nani amesaini, lini, wapi , kwa mamlaka gani na kwa maslahi gani kwa taifa. Kam mikataba hii inasainiwa kwa niaba yetu na manufaa yetu, kwa nini tusiione ??

Assumption yake ni kuwa viongozi wana zingatia ethics na moral consciousness..Kama foreigner hajui mazingira ya Tanzania kuwa viongozi wengi utata mkubwa ndiyo maana hata wanapotupatia wataalamu bado matatizo yetu yana baki pale pale na wao wanabaki wana shangaa mbona kwao ilifanya kazi....Ni gnumu kujua latent factors kwenye modelling kama huna experience na mazingira husika ambazo pia zina affect sana choice za rules and regulations concerned with access pattern kwenye natural resources.
 
Tanzania kupewa ushauri so openly kutoka nchi moja yenye interests za kibiashara sio proper. Inaonekana kama vile energy policy yetu inakuwa dictated kutoka Oslo.

mtu kukupa ushauri ni kitu kimoja na wewe kuupokea ni jambo lingine....Kuna mtu gani atakupa ushauri bila kuwa na interest hata wewe hapo jiulize!

Ushauri unatolewa kwa interest na mwenye kuupokea vilevile lazima awe na interest so is two way communication-prove me wrong!
 
mtu kukupa ushauri ni kitu kimoja na wewe kuupokea ni jambo lingine....Kuna mtu gani atakupa ushauri bila kuwa na interest hata wewe hapo jiulize!

Ushauri unatolewa kwa interest na mwenye kuupokea vilevile lazima awe na interest so is two way communication-prove me wrong!

Hatujapewa ushauri, tumeomba ushauri.

Mtu unataka kufanya biashara naye, una asset, nyumba mbovumbovu, unataka kuitengeneza halafu uiuze sokoni, yeye ni mmoja wa wanunuzi/ wakarafati, na yeye anafanya biashara kama yako.

Kabla ya kuingia kwenye biashara unamuomba ushauri halafu na yeye anashika megaphone kutangaza anavyokupa ushauri, dunia nzima imuone alivyokushika mkononi.

Unafikiri kuna business na good governance ethics hapo?

Kesho kukiwa na tender Wamarekani na WaNorway wanataka kuchukua deal, wakashinda waNorway, Wamarekani wakilalamika kwamba Tanzania ni koloni jipya la Norway tutakataaje?
 
Huyu mtaalamu wa kinorway nadhani anapoteza muda wake bure kuishauri serikali ya ccm isiyoshaurika katika mambo muhimu yenye tija kwa nchi hasa katika sekta ya madini. Ushauri wangu kwa kamanda Zitto ni kama alivyoshauri mwanaJF mwenzangu FJM kwamba sasa tunataka kuona watunga sheria (wabunge) mnachukua hatua za makusudi kuandaa muswada makini unaozingatia maslahi mapana ya nchi katika rasilimali hii ya mafuta na gesi na kuuwasilisha bungeni tupate sheria itakayolinda maslahi ya nchi katika mikataba yote ya uchimabji mafuta ba gesi.

Vinginevyo itakuwa ni suala la kupoyteza muda kuipigia kelele serikali isiyosikia na haina nia ya kusikia.


CCM kwa study tours, workshop ndio zao. Wamekuwa permanent students na haijulikani ni lini wataanza ku-implement hayo wanayojifunza?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Haya Madini hayaozi tuyakalie mpaka tutakapopata akili........

The Best Ushauri Ever..; and it seems bado hatujapata akili.., tungesuburi next generation (then maybe just maybe....)

Sasa wewe unataka kusubiri next generation akina Kikwete na Ridhiwani wangekula wapi?
 
Assumption yake ni kuwa viongozi wana zingatia ethics na moral consciousness..Kama foreigner hajui mazingira ya Tanzania kuwa viongozi wengi utata mkubwa ndiyo maana hata wanapotupatia wataalamu bado matatizo yetu yana baki pale pale na wao wanabaki wana shangaa mbona kwao ilifanya kazi....Ni gnumu kujua latent factors kwenye modelling kama huna experience na mazingira husika ambazo pia zina affect sana choice za rules and regulations concerned with access pattern kwenye natural resources.

This is deep mkuu...inaonekana basi tatizo letu ni kubwa zaidi ya mikataba mizuri, wataalamu au vipaumbele. Mikataba hata iwe mizuri vipi inaweza kupindishwa kama hatuna ethics na moral consciousness.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mheshimiwa Zitto tunapo discuss how to go about kwenye policies zetu katika gas and oil exploration naomba tuangalie position yetu kama global residents contribution yetu ikoje kama Taifa katika energy sector na welfare ya dunia....

For reference soma some of scholarly and grey literatures katika hizo link hapo chini
http://www.unido.org/fileadmin/user...nd_Climate_Change/Conference_report_Final.pdf; Rio+20 agreement puts energy poverty on global agenda;
SEI-US - Publications
Climate Change – WEF Reports – Global Agenda Council 2012

Nitashukuru kupata maoni yako juu ya hilo swali langu wewe kama mwanasiasa mchumi na mshauri kwenye serikali hasa kama mwenyekiti wa kamati ya bunge na kama mbunge.
 
Hatujapewa ushauri, tumeomba ushauri.

Mtu unataka kufanya biashara naye, una asset, nyumba mbovumbovu, unataka kuitengeneza halafu uiuze sokoni, yeye ni mmoja wa wanunuzi/ wakarafati, na yeye anafanya biashara kama yako.

Kabla ya kuingia kwenye biashara unamuomba ushauri halafu na yeye anashika megaphone kutangaza anavyokupa ushauri, dunia nzima imuone alivyokushika mkononi.

Unafikiri kuna business na good governance ethics hapo?

Kesho kukiwa na tender Wamarekani na WaNorway wanataka kuchukua deal, wakashinda waNorway, Wamarekani wakilalamika kwamba Tanzania ni koloni jipya la Norway tutakataaje?

Sijakupata vizuri hapo...Wewe umeomba ushauri si ndiyo ina maana umeenda kwa mtu ambaye una long-partnership na mumeshibana siyo? Then whats wrong hapo? Kila mtu anainterest yake ndicho nilikimaanisha.

Huko duniani kwa wenye akili hawapigani ovyo ovyo kumbuka Berlin conference tangu hapo walisha jifunza halipi kupigana ila comperative advantages ndizo determinants; hizo barbaric characters zakupigana wametuachia sisi...

Hao interest zao ziki-gongana wanakuja na evidance nani ali-invest kwenye hiyo sector kupita mwenzake na wanakubaliana kila mmoja atafaidika vipi...Kazi inabidi kwetu maana hawatatu force bali tuki-negotiate vizuri na ss tuna kuwa better off ndicho kilichotokea huko Qatar na Saudia na ile United Emirates yote and the like....

Dunia ya mabavu inakuja tu pale mkijidai kukata huku wao hawana pengine pakupata mahitaji yao hapo ndiyo wana kukung'uta na ili isiwe hasara wanakuuzia na silaha ku maximize profits..
 
ndio hivyo.

Halafu tutashabikia hiyo policy iletwe wee hafu ikiletwa inawafavor hao hao wa-norway.

Tanzania kupewa ushauri so openly kutoka nchi moja yenye interests za kibiashara sio proper. Inaonekana kama vile energy policy yetu inakuwa dictated kutoka Oslo.
 
Niwa tahadharishe kuwa mtazamo wa Europe ni kutumia biomass katika electricity production kupunguza Co2..Na potential patners ni Africa ndiyo maana nikasema kama tutaanza kuweka investiment na kuingia katika mikopo mikubwa ili ku-exploit oil and gas returns za hizo projects zinaweza ziwe negative....

Tunatakiwa kuumiza vichwa kweli na kuangalia mwenendo wa dunia ili na ss tuende kwenye hiyo direction ili tupate opportunity ya kuwa pamoja katika maendeleo....

Nyingi ya hizo renewable energy projects ziko kwenye invention na innovation stage na PhDs nyingi zinaenda kwa mtazamo huo...

Hatari ni kuwa hizo technology efficiency na effectiveness ikiongezeka costs itashuka na itakuwa ndiyo mbadala na hapo dunia inaweza kukubaliana ku-abandon fossils fuel..Fikirieni sisi tutawauzia kina nani hayo mafuta na gas kama nasi tutalazimika ku-sign global agreement?

So huku tukiangalia sera zetu katika hilo lazima tuangalie na ss tunaelekea wapi ili tusiwe kila siku wasindikizaji katika maendeleo ya dunia!
 
Kwenye resource economics kuna kitu kinaitwa back stop technology....Is just a matter of time hizo fossils fuels zitakosa market...Kama unajua ku-browse internet tafuta energy policies za dunia uone wenzetu wako busy kufanya nini wakati ss always ni laggers...

Mkuu nadhani sijakuelewa kabisa.., !!! na umetumia backstop technology ndivyo sivyo.., theory inasema kwamba limited resource ikiwa expensive alternative energy will become cheaper by comparison (kulingana na hii resource kuzidi kuisha na upatikanaji wake kuwa mgumu zaidi na wa gharama), kumbuka hapa issue sio kuhakikisha kwamba unazichimba haraka na kuzimaliza kabla hazipungua / kuisha sababu hata zikipungua zaidi na demand kuwa kubwa zaidi obvious bei itapanda...

Na hizi fossils fuels hazitashuka bei anytime soon, unless igundulike another cheaper and efficient source of energy au mashinikizo ya environmentalists yasababishe hizi fossil fuels kuwa banned..., Hivyo narudia kuendelea kuyakalia haya madude huenda ni poa tu, tuchimbe kidogo cha kuweza kutusaidia internally na sio kuwapa watu leeway wachimbe by the tons.., na kuwapa lease ya miaka 60 wakati kwa kasi yao ya kuchimba huenda after 30 years wakawa wameshamaliza
 
Sijakupata vizuri hapo...Wewe umeomba ushauri si ndiyo ina maana umeenda kwa mtu ambaye una long-partnership na mumeshibana siyo? Then whats wrong hapo? Kila mtu anainterest yake ndicho nilikimaanisha.Huko duniani kwa wenye akili hawapigani ovyo ovyo kumbuka Berlin conference tangu hapo walisha jifunza halipi kupigana ila comperative advantages ndizo determinants; hizo barbaric characters zakupigana wametuachia sisi...Hao interest zao ziki-gongana wanakuja na evidance nani ali-invest kwenye hiyo sector kupita mwenzake na wanakubaliana kila mmoja atafaidika vipi...Kazi inabidi kwetu maana hawatatu force bali tuki-negotiate vizuri na ss tuna kuwa better off ndicho kilichotokea huko Qatar na Saudia na ile United Emirates yote and the like....Dunia ya mabavu inakuja tu pale mkijidai kukata huku wao hawana pengine pakupata mahitaji yao hapo ndiyo wana kukung'uta na ili isiwe hasara wanakuuzia na silaha ku maximize profits..
Nadhani kama nimemuelewa Kiranga ni kuwa, Kama Tanzania iliomba Ushauri (kama kweli iliomba) kimyakimya inakuwaje mtoa ushauri apayuke? huo ushauri anampa nani?
 
Mkuu nadhani sijakuelewa kabisa.., !!! na umetumia backstop technology ndivyo sivyo.., theory inasema kwamba limited resource ikiwa expensive alternative energy will become cheaper by comparison (kulingana na hii resource kuzidi kuisha na upatikanaji wake kuwa mgumu zaidi na wa gharama), kumbuka hapa issue sio kuhakikisha kwamba unazichimba haraka na kuzimaliza kabla hazipungua / kuisha sababu hata zikipungua zaidi na demand kuwa kubwa zaidi obvious bei itapanda...

Na hizi fossils fuels hazitashuka bei anytime soon, unless igundulike another cheaper and efficient source of energy au mashinikizo ya environmentalists yasababishe hizi fossil fuels kuwa banned..., Hivyo narudia kuendelea kuyakalia haya madude huenda ni poa tu, tuchimbe kidogo cha kuweza kutusaidia internally na sio kuwapa watu leeway wachimbe by the tons.., na kuwapa lease ya miaka 60 wakati kwa kasi yao ya kuchimba huenda after 30 years wakawa wameshamaliza

Nisome taratibu bila jazba utapata ninachokwambia.....Mtazamo wa dunia uko against fossils fuel so wanafanya juu chini kuja na alternative technology ambapo kwa sasa ni expensive comapred to the existing fossils oil extraction sasa fossils inakuwa expensive ukiingiza factor ya CO2 na kama utaipa value hiyo CO2 and because of that wanatafuta a shift in a lesser expensive technology so far inayorodhisha ni wind off shor na on shore lakini bado watu wako lab wanumiza kichwa na kuna on-going PhD inasema hypothesis kuwa Biomas ni better competitor kuliko hiyo wind technology.....

In summary oil ni expensive kwao kwasababu ya cartails zilizopo na pia ukiipa value CO2 ambayo imeharibu mazingira so combining the two and many other factors lazima kuwe na shift

So follow well my arguments ilimjibu nani na kwanini; nilimjibu aliyesema tuiache haita oza na mm ninamwonyesha is best we exploit now kuliko baadaye kwani kuna anticipated shift in energy technology kutokana na hizo factors nilizokupa hapo juu

si ongei nisichokijua na ninapokuwa sijui huwa nina kiri!
 
Back
Top Bottom