chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Hajaongelea kukatazwa kuingiza gari za umeme nchini.Kwani mkuu ukitaka kuingiza hapa nchini gari la umeme unakatazwa?
Ameongelea kuwa hakuna sheria inayohusiana na gari za umeme Tanzania.
Mfano:Norway,Denmark,Sweden gari zote zinazotumia umeme kodi zake ziko chini, nk.
Mapunguzo ya kodi imewafanya watu wanunue hizo gari zinazotumia umeme kwa wingi.