Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,191
- 3,711
- Thread starter
- #21
Sina uzoefu na estonia ilanchi za hivyo hamnaga kitu, wewe shughulika na nchi za ulaya magharibi tuKuna mshkaj wangu yuko Estonia apo (Mzungu alishakuja bongo akakaa kwangu) ,mishe zake anafanya btn Norway na Estonia, hua ananishawish nije kuchek mishe uko .... Vp unakuelewa kulivyo uko chief? Watu wa Estonia hawana issue ya ubaguz? Economy ikoje?