North Korea yatesti hypersonic missile, kombora linalosafiri na spidi kubwa zaidi ambayo ni mara ishirini ya ile spidi ya sauti

Wewe ndio unaleta ubishi wa kitoto, mara ngapi huyo USA anaweka vikwazo na wananchi wanaumia.

Kuwa serious serious kidogo chief.
Vikwazo vya kiuchumi ni tofauti na misaada ya kibinadamu, hapa tunazungumzia misaada ya vyakula , zimbambwe iko kwenye vikwazo vya kiuchumi miaka mingapi sasa, lakini mbona misaada ya kibinadamu kila leo wanapewa kupitia mashirika ya UN?
 
Vikwazo vya kiuchumi ni tofauti na misaada ya kibinadamu, hapa tunazungumzia misaada ya vyakula , zimbambwe iko kwenye vikwazo vya kiuchumi miaka mingapi sasa, lakini mbona misaada ya kibinadamu kila leo wanapewa kupitia mashirika ya UN?
Unapoweka vikwazo vya kiuchumi unategemea maisha yatabaki kuwa yale yale.. Hiyo ni janja ya nyani.
 
Kiduku hizo juhudi angeziwekeza kwenye uchumi nchi yake ingekuwa sawa na South Korea! Kujiimalisha kijeshi sioni kama inakuwa na faida kwa mwananchi wa chini bali ni faida kwa mtawala kujihakikishia kukaa madarakani yeye na watu wake wa karibu.
 
Kiduku hizo juhudi angeziwekeza kwenye uchumi nchi yake ingekuwa sawa na South Korea! Kujiimalisha kijeshi sioni kama inakuwa na faida kwa mwananchi wa chini bali ni faida kwa mtawala kujihakikishia kukaa madarakani yeye na watu wake wa karibu.
Labda tukawaulize wananchi wa Libya kilichowapata/kinachoendelea kuwapata baada ya kuwa ktk ustawi na neema kochokocho kipindi cha Saddam Hussein ila nchi yao ilikuwa na nguvu dhaifu za kijeshi
 
Nimekuita dogo kwa upeo ulionao wala si kwa umri, samahani nikiwa nimekukwaza lakini achana na propaganda za vijiweni hata kama una uhuru wa kutoa maoni.
Bahati mbaya mm sikai vijiweni.
Angalia hata ktk blog ya WFP wametaja nchi wanazozipa msaada wa chakula North Korea ikiwemo.
MKUU WFP WENYEWE KWA BLOG YAO IMEKUA KIJIWENI???
 
Vikwazo vya kiuchumi ni tofauti na misaada ya kibinadamu, hapa tunazungumzia misaada ya vyakula , zimbambwe iko kwenye vikwazo vya kiuchumi miaka mingapi sasa, lakini mbona misaada ya kibinadamu kila leo wanapewa kupitia mashirika ya UN?
Kuna vikwazo vyengine mkuu vinazuia misaada ya kibinaadamu mfano IRAN anavikwazo ambavyo haviruhusu kununua ama kuagiza dawa kutoka nje US wahuni mbwa wale
 
Kiduku hizo juhudi angeziwekeza kwenye uchumi nchi yake ingekuwa sawa na South Korea! Kujiimalisha kijeshi sioni kama inakuwa na faida kwa mwananchi wa chini bali ni faida kwa mtawala kujihakikishia kukaa madarakani yeye na watu wake wa karibu.
Nyie ambao taifa lenu limejiwekeza kwenyr UCHUMI munakipi cha maana cha Kuizidi Korea ya Kaskazini MKUU!!?
Kila taifa lina vipaombele vyao miswapangie wala nn yaan
 
Mkuu acha kupenda ligi za kitoto, toka zamani ina julikana kabisa, kuwa N.Korea anapewa msaada wa chakula , kupitia mashirika ya umoja wa mataifa, kutokana na mikataba ya kimataifa USA, hana uwezo wa kuzuia chakula kisiende huko, kwani ugomvi wake ni serikali na sio wananchi, hata leo hii Afganistan wanapelekewa chakula licha ya kuwa chini ya Wahuni(Tariban)
Na ndio maana rafiki yake mkubwa ni china, japo urafiki wa china msaada wake ni mdogo sana.
Kwanini Taliban unawaita wahuni?
 
Kiduku hizo juhudi angeziwekeza kwenye uchumi nchi yake ingekuwa sawa na South Korea! Kujiimalisha kijeshi sioni kama inakuwa na faida kwa mwananchi wa chini bali ni faida kwa mtawala kujihakikishia kukaa madarakani yeye na watu wake wa karibu.
Ulinzi wa nchi nao ni muhimu sana,kuna faida gani ya kujenga miundo mbinu bila kua na ulinzi halafu anakuja mpuuzi mmoja na kutupia mabomu?
 
Kwanini Taliban unawaita wahuni?
Kutokana na matendo yao!!na ndio maana hata serikali ya Qatar, imeanza kuwakosoa kwa mambo yao wanayofanya hasa kwenye haki za wanawake!!hakuna nchi yoyote ya kiislam inakuwa na misimamo mikali hivyo kwa wanawake kama wao, huo ndio uhuni wenyewe!!
 
Kutokana na matendo yao!!na ndio maana hata serikali ya Qatar, imeanza kuwakosoa kwa mambo yao wanayofanya hasa kwenye haki za wanawake!!hakuna nchi yoyote ya kiislam inakuwa na misimamo mikali hivyo kwa wanawake kama wao, huo ndio uhuni wenyewe!!
So,ina maana kila nchi isiyotoa haki ya jambo fulani ni wahuni? basi Dunia nzima ni wahuni,kuna nchi hazina uhuru wa habari,kuna nchi zingine hazina uhuru wa mambo mengine pia.
 
Back
Top Bottom