Ni sawa na Tanzania kumuwekea vikwazo China
nasisi tufanye majaribio ya silaha zetu, hata kiduku hatuweziHakuna vita ya nyuklia itakayopiganwa tena na hakuna atakayeanzisha hilo ila nchi yeyote inahaki ya kujilinda na kufanya majaribio ya silaha zake yenyewe
Zetu special kwa UKAWAnasisi tufanye majaribio ya so lab a zetu, hata kiduku hatuwezi
Mzungu ni Mungu... So Waafrica wapo chini ya uangalizi wa Mzungu... ndiyo maana ukienda kanisani kwenda kuomba unaenda kumwombea mzungu azidi kubarikiwa.... Africa wa miuungu yao ila wameikataa wamemkumbatia mzungu....Duu nimeamini sisi tulikuja kusindikiza duniani haiwezekan wenzetu wako mbali sisi ndio tuko kweny uhakiki wa vyeti.
Cjui tulikosea wapi bora tufe wotd uumbaji uanze upya pengine tunaweza jikuta na sis tumekuwa wa israel
Doh... Hii mpyaMzungu ni Mungu... So Waafrica wapo chini ya uangalizi wa Mzungu... ndiyo maana ukienda kanisani kwenda kuomba unaenda kumwombea mzungu azidi kubarikiwa.... Africa wa miuungu yao ila wameikataa wamemkumbatia mzungu....