ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Hatimae North Korea yaripotiwa kuachia huru wamarekani watatu ambao walikua wakishikiliwa nchini humo.
Hatua hii inafata baada ya Rais wa Marekani Donald Trump hapo awali kuitaka Korea kaskazini kuonyesha kwamba kweli ina Nia ya mazungumzo kabla ya kikao Kati ya hizo mbili.
Moja ya vitu alivyovitaka Trump ilikua ni pamoja na kuachiwa kwa wamarekani ambao walikua wakishikiliwa nchini humo.
North Korea reportedly hands Trump another big win by releasing US prisoners
Hatua hii inafata baada ya Rais wa Marekani Donald Trump hapo awali kuitaka Korea kaskazini kuonyesha kwamba kweli ina Nia ya mazungumzo kabla ya kikao Kati ya hizo mbili.
Moja ya vitu alivyovitaka Trump ilikua ni pamoja na kuachiwa kwa wamarekani ambao walikua wakishikiliwa nchini humo.
North Korea reportedly hands Trump another big win by releasing US prisoners