North Korea waitishia Marekani kupokea gharika wasiloweza kulitatua wawapa onyo fanyeni yenu la sivyo tusilaumiane uchaguzi wenu unaokaribia

son of a teacher

JF-Expert Member
Jul 30, 2017
515
1,364
"Endapo Marekani ikaingiza pua yake kwenye masuala ya wenzake badala ya kuangalia masuala yake ya ndani katika kipindi ambacho wapo kwenye hali mbaya ya kisiasa basi wanaweza kukutana na kitu kibaya kisichorizisha wakashindwa kukikabili.-"Kwon

"Itakuwa vizuri kama mkifunga midomo yenu ,haitokuwa vizuri tu katika maslahi ya marekani na pia itakuwa faida kwenu kwenye uchaguzi unaokaribia.-"Kwon

North Korea wamezima mawasiliano yao yote na taifa kibaraka la South Korea jambo ambalo limeikera sana Washington.Hivyo North Korea wameitahadharisha Marekani kuwa wafanye yao,waangalie masuala yao ya ndani na sio kuangalia au kuingilia masuala ya wenzao la sivyo watafanya jambo baya kwa marekani wengi katika washington wanahisi North wataingilia uchaguzi wa marekani utakaofanyika mwezi novemba au chochote kile kitakachovuruga uchaguzi
 
kitu msichokujua ni kwamba north korea akirusha kombora lake pale USA, litapiga na USA ataumia sana tu, ila hiyo comeback yake itaandikwa kwenye vitabu, hata japan alikuwa na hizi Tambo kuonyesha misilaha hovyo hovyo huku mmarekani katulia kumbe ana mikombora kaificha kilichotokea japan ana adabu
 
kitu msichokujua ni kwamba north korea akirusha kombora lake pale USA, litapiga na USA ataumia sana tu, ila hiyo comeback yake itaandikwa kwenye vitabu, hata japan alikuwa na hizi Tambo kuonyesha misilaha hovyo hovyo huku mmarekani katulia kumbe ana mikombora kaificha kilichotokea japan ana adabu
Ktk hili nadhani North Korea wanajua kuliko wewe
 
H
Ktk hili nadhani North Korea wanajua kuliko wewe
Historia ni mwalimu mzuri sana, wakati mwingine huitaji kuwa Mmarekani ama Mkorea kung’amua baadhi ya mambo. Kama ni kibass mbona hata Magu hapangiwi na mabeberu? Ila wakiamua kukaza of course wanakuwa wametuonea lakini inakuwa ndio basi tena hakuna ujanja.
 
kitu msichokujua ni kwamba north korea akirusha kombora lake pale USA, litapiga na USA ataumia sana tu, ila hiyo comeback yake itaandikwa kwenye vitabu, hata japan alikuwa na hizi Tambo kuonyesha misilaha hovyo hovyo huku mmarekani katulia kumbe ana mikombora kaificha kilichotokea japan ana adabu
Usiwaze makombora tu kuna vita vingi

-cyber war nk

Kumbuka novemba usa wanafanya uchaguzi kuna njia nyingi ya kuvuruga uchaguzi
 
H

Historia ni mwalimu mzuri sana, wakati mwingine huitaji kuwa Mmarekani ama Mkorea kung’amua baadhi ya mambo. Kama ni kibass mbona hata Magu hapangiwi na mabeberu? Ila wakiamua kukaza of course wanakuwa wametuonea lakini inakuwa ndio basi tena hakuna ujanja.
Ficha ujinga ww, N. K wanafaham zaid yako kapuku mkubwa ww
 
Ficha ujinga ww, N. K wanafaham zaid yako kapuku mkubwa ww
We mtanzania wa kyambankumbi uliyeshikiwa ubongo wako North Korea unawezaje kuniita mimi kapuku nnapojaribu kufikirisha ubongo wangu?
Za kuambiwa changanya na zako usipokee tu taarifa na kuzipigia mstari, omba urejeshewe ubongo wako...... mr. empty headed
 
We mtanzania wa kyambankumbi uliyeshikiwa ubongo wako North Korea unawezaje kuniita mimi kapuku nnapojaribu kufikirisha ubongo wangu.
Za kuambiwa changanya na zako usipokee tu taarifa na kuzipigia mstari, omba urejeshewe ubongo wako...... mr. empty headed
Kaa kimya kapuku ww, korea wana uelewa zaidi yako sio kuropoka ropoka mpuuz mkubwa
 
We mtanzania wa kyambankumbi uliyeshikiwa ubongo wako North Korea unawezaje kuniita mimi kapuku nnapojaribu kufikirisha ubongo wangu?
Za kuambiwa changanya na zako usipokee tu taarifa na kuzipigia mstari, omba urejeshewe ubongo wako...... mr. empty headed
Hahahaha...yaani hapa jukwaani vita itapigwana Kwanza kabla hata kiduku na mwenzio..bongo kweli nyoso
 
kitu msichokujua ni kwamba north korea akirusha kombora lake pale USA, litapiga na USA ataumia sana tu, ila hiyo comeback yake itaandikwa kwenye vitabu, hata japan alikuwa na hizi Tambo kuonyesha misilaha hovyo hovyo huku mmarekani katulia kumbe ana mikombora kaificha kilichotokea japan ana adabu
North Korea hapo ana zungumzia Cyber war,sio hiyo ya mitutu, mabunduki na mabomu.
 
kitu msichokujua ni kwamba north korea akirusha kombora lake pale USA, litapiga na USA ataumia sana tu, ila hiyo comeback yake itaandikwa kwenye vitabu, hata japan alikuwa na hizi Tambo kuonyesha misilaha hovyo hovyo huku mmarekani katulia kumbe ana mikombora kaificha kilichotokea japan ana adabu
Si kila siku ni J'pili.
Ajipendekeze aone. Wale si waarabu
 
Si kila siku ni J'pili.
Ajipendekeze aone. Wale si waarabu
Hii kauli watu wanaipenda kweli, utaskia eti wale sio waarabu, kwani Japan walikuwa ni waarabu? Vita sio ya kuombe kabisa, hasa vita baina ya hayo mataifa makubwa kiteknolojia.
 
Back
Top Bottom