Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Wanajamvi,
Nimesugua kichwa sana ya kudadavua nchi gani ambayo imeendelea kati ya Tanzania na North Korea na sijapata jibu.
Naombeni maoni yenu tafadhali.
Nimesugua kichwa sana ya kudadavua nchi gani ambayo imeendelea kati ya Tanzania na North Korea na sijapata jibu.
Naombeni maoni yenu tafadhali.