Perfectz
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 8,844
- 27,551
Angalau wewe unaona mbalitrump hamuogopi n.korea but anawaogopa allies wa n.korea (russia,china na iran). Yaani hapa wanaviziana tuu wote wanatamani kuingia vitani ila wanasubiri nani alianzishe na kwenye hili n.korea ni kama catalyst tuu wa kuspeed up huu mtifuano.