North Korea kufanya jaribio la kombora la kinyuklia lisiloonekana angani

NK kamvua nguo marekan adharan na marekan anawaza atakuwa na sura gan atakapo kaa meza moja na mtoto ambae anamsuli na kiburi zaid dunian japo ni taifa dogo na uchumi mdogo (masikin jeuri).
Pia anajua ni wakat mgum zaid kwake kwa kuendelea kunyonya dunia kwa kisingizio cha kutoa ulinzi au kuuza siraha maana kila taifa lenye uwezo wa kuwekeza ktk Nuclear atafanya hivyo na kuzaliwa NK zingine nyingi. Mfano Japan, US anajua uwezo wa technojia ya Japan na anajua japan hana iman nae hata kidogo akianza kutengeneza silaha na Nuke basi atakuwa hatar zaid na atakuwa sio msemaji tena na kufanya atakavyo kama ilivyo sasa.

Bado kitu kimoja dunia haijaamua na ndio utakuwa mwisho wa US kutafuta mbadala wa matumizi ya dollar kama international currency reserve na kuipa nguvu zaid fedha za muungano wa nchi nyingi kama Euro, na Brisc nao wakiwa serious wanaweza anzisha pesa yao na kuwa na nguvu kama Euro hapo US atakuwa amebak kutapatapa tuuu.

Us hana uzalishaji wenye tija nchin mwake zaid anatumia dollar kunyonya mataifa mengine
Uchambuzi mzr sana
 
NK kamvua nguo marekan adharan na marekan anawaza atakuwa na sura gan atakapo kaa meza moja na mtoto ambae anamsuli na kiburi zaid dunian japo ni taifa dogo na uchumi mdogo (masikin jeuri).
Pia anajua ni wakat mgum zaid kwake kwa kuendelea kunyonya dunia kwa kisingizio cha kutoa ulinzi au kuuza siraha maana kila taifa lenye uwezo wa kuwekeza ktk Nuclear atafanya hivyo na kuzaliwa NK zingine nyingi. Mfano Japan, US anajua uwezo wa technojia ya Japan na anajua japan hana iman nae hata kidogo akianza kutengeneza silaha na Nuke basi atakuwa hatar zaid na atakuwa sio msemaji tena na kufanya atakavyo kama ilivyo sasa.

Bado kitu kimoja dunia haijaamua na ndio utakuwa mwisho wa US kutafuta mbadala wa matumizi ya dollar kama international currency reserve na kuipa nguvu zaid fedha za muungano wa nchi nyingi kama Euro, na Brisc nao wakiwa serious wanaweza anzisha pesa yao na kuwa na nguvu kama Euro hapo US atakuwa amebak kutapatapa tuuu.

Us hana uzalishaji wenye tija nchin mwake zaid anatumia dollar kunyonya mataifa mengine
Aisee!
 
NK kamvua nguo marekan adharan na marekan anawaza atakuwa na sura gan atakapo kaa meza moja na mtoto ambae anamsuli na kiburi zaid dunian japo ni taifa dogo na uchumi mdogo (masikin jeuri).
Pia anajua ni wakat mgum zaid kwake kwa kuendelea kunyonya dunia kwa kisingizio cha kutoa ulinzi au kuuza siraha maana kila taifa lenye uwezo wa kuwekeza ktk Nuclear atafanya hivyo na kuzaliwa NK zingine nyingi. Mfano Japan, US anajua uwezo wa technojia ya Japan na anajua japan hana iman nae hata kidogo akianza kutengeneza silaha na Nuke basi atakuwa hatar zaid na atakuwa sio msemaji tena na kufanya atakavyo kama ilivyo sasa.

Bado kitu kimoja dunia haijaamua na ndio utakuwa mwisho wa US kutafuta mbadala wa matumizi ya dollar kama international currency reserve na kuipa nguvu zaid fedha za muungano wa nchi nyingi kama Euro, na Brisc nao wakiwa serious wanaweza anzisha pesa yao na kuwa na nguvu kama Euro hapo US atakuwa amebak kutapatapa tuuu.

Us hana uzalishaji wenye tija nchin mwake zaid anatumia dollar kunyonya mataifa mengine
Tupeleke wataalam wetu NK kujifunza namna ya kuyatendea haki madini yetu ya Uranium!
 
KIDUKU SELEMA!SELEMA SELEMA! KIDUKU SELEMA!SELEMA SELEMA.DAAH!YAANI HADI RAHA,DUNIA YETU SOTE KILA MTU ANA HAKI YA KUENJOY.SIO KILA SIKU MASHOGA NA WASAGAJI WA USA NA UK NDIO WAENJOY
 
NK kamvua nguo marekan adharan na marekan anawaza atakuwa na sura gan atakapo kaa meza moja na mtoto ambae anamsuli na kiburi zaid dunian japo ni taifa dogo na uchumi mdogo (masikin jeuri).
Pia anajua ni wakat mgum zaid kwake kwa kuendelea kunyonya dunia kwa kisingizio cha kutoa ulinzi au kuuza siraha maana kila taifa lenye uwezo wa kuwekeza ktk Nuclear atafanya hivyo na kuzaliwa NK zingine nyingi. Mfano Japan, US anajua uwezo wa technojia ya Japan na anajua japan hana iman nae hata kidogo akianza kutengeneza silaha na Nuke basi atakuwa hatar zaid na atakuwa sio msemaji tena na kufanya atakavyo kama ilivyo sasa.

Bado kitu kimoja dunia haijaamua na ndio utakuwa mwisho wa US kutafuta mbadala wa matumizi ya dollar kama international currency reserve na kuipa nguvu zaid fedha za muungano wa nchi nyingi kama Euro, na Brisc nao wakiwa serious wanaweza anzisha pesa yao na kuwa na nguvu kama Euro hapo US atakuwa amebak kutapatapa tuuu.

Us hana uzalishaji wenye tija nchin mwake zaid anatumia dollar kunyonya mataifa mengine
Mwisho wa ubabe wake unakaribia kwa kasi
 
huyo kiduku nae sasa asije akazidisha sifa akagusa jua huko angani dunia nzima tukaangamia
 
034e644474b9234b86e9887b9bc51edb.jpg


Arc showing the travel route. 2300 miles
Ngoma inasepa kwa dk19 tu duuuh huo moto.
 
Back
Top Bottom