Nikiwa kama mwana Jf niliyewah kuishi na kusoma mkoa wa Mbeya nahuzunika sana kusikia matukio ya watu kupigwa nondo...swali langu je ni ukosefu wa ulinzi shirikishi au ni ushirikina? Je serikali imefanya nini kujaribu kuzuia matukio hayo,mwenye chochote naomba atujuze.