Nomination of non-executive directors Tanzania imejaa zengwe!

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Laiti mambo yote yangefuatwa kama inavyotakiwa nadhani makampuni mengi yangekuwa ni mfano wa kuigwa. Lakini nia njema ya kuingiza good corporate goverance kwenye haya makampuni pamoja na taasisi imepuuzwa na matokeo yake imebaki siasa.
Hizi position zimekuwa ni sehemu ya kupeana ulaji, na ndo maana inafika stage ambayo managing directors anawaweka non-executive directors anao wataka. Supervisors and external auditors wakipita hawaji na findings zozote.
 
Back
Top Bottom