Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,499
- 70,300
Nchini Afrika Kusini kumekuwa na kesi iliyoteka hisia za watu huku macho na masikio ya watu wengi wakiifuatilia kesi hiyo iliyoanza kusikilizwa katikati ya mwezi Septemba.
Kesi hiyo inamhusisha askari wa zamani ajulikanae kama Nomia Rosemary Ndlovu anaekabiliwa na mashitaka ya mauaji, kula njama na ulaghai.
Kati ya mwaka 2012 mpaka 2017 inasemekana ndugu zake watano na mchumba wake walikutwa wakiwa wameuwawa aidha kwa kunyongwa, kupigwa na kitu kizoto au kupigwa risasi.
Ndlovu ndie mshutumiwa namba moja katika mauaji ya watu hao huku akikabiliwa na mshtaka ya kuwakatia watu hao bima za maisha na za mazishi kisha kuwauwa (kula njama za kuwaua) na baadae kutaka kulipwa na makampuni ya bima baada ya vifo vya ndugu hao.
Inasemekana Ndlovu aliweza kujikusanyia kiasi cha rand millioni 1.4 sawa na zaidi ya shilingi million 216 za Kitanzania kutoka katika makampuni ya bima alizokuwa amewakatia ndugu hao pamoja ya mpenzi wake.
Pia Ndlovu anahusishwa kutaka pia kumuua mama yake na tayari alishaagiza utekelezaji wa mauaji hayo kabla ya kitiwa mbaroni mwaka 2018.
Nomia Rosemary Ndlovu was born in South Africa. By profession, she is a former police officer on trial for allegedly murdering and plotting to kill relatives to cash in life insurance policies. She appeared in court facing six counts of murder, four counts of fraud, obstruction of justice, and eights counts of conspiracy to commit murder.
Nomia Rosemary Ndlovu was arrested in 2019. Ndlovu was arrested by an undercover police officer in Bushbuckridge shortly after she pointed out her sister’s house to the men.
Kesi hiyo inamhusisha askari wa zamani ajulikanae kama Nomia Rosemary Ndlovu anaekabiliwa na mashitaka ya mauaji, kula njama na ulaghai.
Kati ya mwaka 2012 mpaka 2017 inasemekana ndugu zake watano na mchumba wake walikutwa wakiwa wameuwawa aidha kwa kunyongwa, kupigwa na kitu kizoto au kupigwa risasi.
Ndlovu ndie mshutumiwa namba moja katika mauaji ya watu hao huku akikabiliwa na mshtaka ya kuwakatia watu hao bima za maisha na za mazishi kisha kuwauwa (kula njama za kuwaua) na baadae kutaka kulipwa na makampuni ya bima baada ya vifo vya ndugu hao.
Inasemekana Ndlovu aliweza kujikusanyia kiasi cha rand millioni 1.4 sawa na zaidi ya shilingi million 216 za Kitanzania kutoka katika makampuni ya bima alizokuwa amewakatia ndugu hao pamoja ya mpenzi wake.
Pia Ndlovu anahusishwa kutaka pia kumuua mama yake na tayari alishaagiza utekelezaji wa mauaji hayo kabla ya kitiwa mbaroni mwaka 2018.
Nomia Rosemary Ndlovu was born in South Africa. By profession, she is a former police officer on trial for allegedly murdering and plotting to kill relatives to cash in life insurance policies. She appeared in court facing six counts of murder, four counts of fraud, obstruction of justice, and eights counts of conspiracy to commit murder.
Nomia Rosemary Ndlovu was arrested in 2019. Ndlovu was arrested by an undercover police officer in Bushbuckridge shortly after she pointed out her sister’s house to the men.