Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Ndugu zangu wana jamiiforums naombeni msaada wa sheria ya ardhi.Kuna mzee mmoja karithi mirathi ya bibi mmoja lakini amekuwa akisumbua majirani mara azibe njia muhimu mara adai maeneo yote yake.
Leo kawaletea majirani zaidi ya wa 5 barua kutoka baraza la ushuluhishi wa ardhi kuwa wapo katika eneo lake akiomba mahakama iamuru nyumba zote zivunjwe wakati baadhi ya nyumba zipo tokea mwaka 1975 na mwenyewe hakuwahi kulalamika lakini yeye ndo anadai ni kwake.
JE TUKISHINDA KESI TUNAWEZA KUMFUNGULIA KESI YA MADAI
MSAADA PLEASE
Leo kawaletea majirani zaidi ya wa 5 barua kutoka baraza la ushuluhishi wa ardhi kuwa wapo katika eneo lake akiomba mahakama iamuru nyumba zote zivunjwe wakati baadhi ya nyumba zipo tokea mwaka 1975 na mwenyewe hakuwahi kulalamika lakini yeye ndo anadai ni kwake.
JE TUKISHINDA KESI TUNAWEZA KUMFUNGULIA KESI YA MADAI
MSAADA PLEASE