Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 4,809
- 6,341
"Pole sana rafiki!" Haya ni maneno ya faraja niliyompa rafiki yangu kipenzi baada ya kukutwa na dhahma!!!
Alikua na demu wake wanapendana sana, bilashaka siku chache zijazo tungevaa suti kuelekea kanisani na baadaye ukumbini....
Demu wake ana Nokia, anadai alimkuta anasoma msg aliyoidhania kwamba inatoka kwa basha mwingine wa huyo dada....
Ghafla yule dada akabonyesha kitufe cha "back" mara tatu, simu ikarudi kwenye MENU KUU, jamaa kujaribu kwenda INBOX hakuikuta tena ile msg! Akajiona faaaalaaaa!!!
Aliponisimulia nikamwambia kuna kitu kinaitwa screened msg, hapa mtumiaji wa simu anaziandika namba ambazo msg zake zikiingia basi simu yake isitoe mlio wala hiyo msg isiingie kwenye folder la INBOX, bali inaenda kwenye folder la SCREENED MSGS, so inabidi mtumiaji wa hiyo simu awe analitembela folder la SCREENED MSGS kuchek kama kuna msg mpya... Nikamuelekeza jinsi ya kuzifikia SCREENED MSGS
Jana karudi kwa dem wake, akaenda kwenye hilo folder la SCREENED MSGS akakuta msgs kama 80 hivi za mabasha tofautitofauti wa huyo manzi wake, almanusura azimie...
Jamani kwa wenye tabia hii muache, na msiofahamu, watch out! NIMEMALIZA...
:disapointed:
Alikua na demu wake wanapendana sana, bilashaka siku chache zijazo tungevaa suti kuelekea kanisani na baadaye ukumbini....
Demu wake ana Nokia, anadai alimkuta anasoma msg aliyoidhania kwamba inatoka kwa basha mwingine wa huyo dada....
Ghafla yule dada akabonyesha kitufe cha "back" mara tatu, simu ikarudi kwenye MENU KUU, jamaa kujaribu kwenda INBOX hakuikuta tena ile msg! Akajiona faaaalaaaa!!!
Aliponisimulia nikamwambia kuna kitu kinaitwa screened msg, hapa mtumiaji wa simu anaziandika namba ambazo msg zake zikiingia basi simu yake isitoe mlio wala hiyo msg isiingie kwenye folder la INBOX, bali inaenda kwenye folder la SCREENED MSGS, so inabidi mtumiaji wa hiyo simu awe analitembela folder la SCREENED MSGS kuchek kama kuna msg mpya... Nikamuelekeza jinsi ya kuzifikia SCREENED MSGS
Jana karudi kwa dem wake, akaenda kwenye hilo folder la SCREENED MSGS akakuta msgs kama 80 hivi za mabasha tofautitofauti wa huyo manzi wake, almanusura azimie...
Jamani kwa wenye tabia hii muache, na msiofahamu, watch out! NIMEMALIZA...
:disapointed: