Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,704
- 39,782
ni juzi tu samsung alizindua simu ya kufunua yenye candybar na leo nae nokia katoa simu ya candybar je hii inamaanisha nini? Kama hujui candybar ni simu zenye button 3 kiupana ambazo ukitype message button moja ina herufi 3. Mfano unataka herufi f itabidi ubonyeze namba 3 mara 3.
Nokia leo wamezindua nokia asha 205 na 206 je kipi kipya kutofautisha na simu za mwanzo?
nokia asha 205 ndo ina qwerty na 206 ina candybar
slam sharing
hii simu ni ya kiafrica na kiasia zaidi ndo maana ikaekwa slam sharing. Hii ni feature mpya ya kuhamisha vitu kwa bluetooth bila kupair device.
fabula design kwa nokia 206
hii ni design ya nokia lumia zote na naona sasa imehamia kwenye nokia asha. The way camera ilipo na edge corner
dedicated facebook button
Nokia 205 itakua na dedicated facebook button ambayo ukibonyeza hapo hapo unakua facebook.
pre loaded apps
moja ya vitu vilivonivutia ni apps ambazo zitakuja na simu hizi kwa ujumla utakuta apps 40 zimeshakua installed na nyingi kati ya hizo ni zile top games na app kama mig33 (zimezinduliwa indonesia hizi simu)
bei
bei imeuzwa indonesia rupia laki 6 ambazo ni kama shilingi laki 1 ya bongo su tuzi expect labda kwa laki na 20
Nokia leo wamezindua nokia asha 205 na 206 je kipi kipya kutofautisha na simu za mwanzo?
nokia asha 205 ndo ina qwerty na 206 ina candybar
slam sharing
hii simu ni ya kiafrica na kiasia zaidi ndo maana ikaekwa slam sharing. Hii ni feature mpya ya kuhamisha vitu kwa bluetooth bila kupair device.
fabula design kwa nokia 206
hii ni design ya nokia lumia zote na naona sasa imehamia kwenye nokia asha. The way camera ilipo na edge corner
dedicated facebook button
Nokia 205 itakua na dedicated facebook button ambayo ukibonyeza hapo hapo unakua facebook.
pre loaded apps
moja ya vitu vilivonivutia ni apps ambazo zitakuja na simu hizi kwa ujumla utakuta apps 40 zimeshakua installed na nyingi kati ya hizo ni zile top games na app kama mig33 (zimezinduliwa indonesia hizi simu)
bei
bei imeuzwa indonesia rupia laki 6 ambazo ni kama shilingi laki 1 ya bongo su tuzi expect labda kwa laki na 20