Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,689
- 39,757
nokia leo wamezindua simu 2 nokia 308 na nokia 309 simu hizi ni muongezeo wa nokia 305, 306 na 311 simu zote ni za s40 touch screen. moja kati ya mambo yanayofanya nokia ionekane inauza smartphone chache ni asha series kutotambulika kama smartphone.
asha touch ui ni simu ambazo zina rich specification kama kua na procesor ya 1ghz na kuweza kuchukua video katika 30fps. pamoja na kua nzuri simu hizi hazikua zikitambulika kama smartphone japo samsung androids zenye 600 mhz processor na kuchukua video katika 15 fps ni smartphone.
mashirika ya research kama gfk na idc yameziweka asha kwenye smartphone kwa kuangalia vigezo kua ina open enviroment kwa developer kudevelop application. hili ndo limenileta leo hapa
kwa sababu nokia wameruhusu kila mtu kutengeneza app za s40 basi wameturahisishia kazi kwa kutuekea app builder ya kutengeneza web app kwa ajili yetu tutengeneze. builder hii haihitaji ujue language yoyote ya code just drag and drop hadi app inaisha. na pia cha maana sana utaweza kuieka app store yaani ovi.
kutengeneza app nenda hapa http://xpresswebapps.nokia.com
hebu cheki video ya beni na app yake hapa
mi ngoja nkatengeneze yangu
asha touch ui ni simu ambazo zina rich specification kama kua na procesor ya 1ghz na kuweza kuchukua video katika 30fps. pamoja na kua nzuri simu hizi hazikua zikitambulika kama smartphone japo samsung androids zenye 600 mhz processor na kuchukua video katika 15 fps ni smartphone.
mashirika ya research kama gfk na idc yameziweka asha kwenye smartphone kwa kuangalia vigezo kua ina open enviroment kwa developer kudevelop application. hili ndo limenileta leo hapa
kwa sababu nokia wameruhusu kila mtu kutengeneza app za s40 basi wameturahisishia kazi kwa kutuekea app builder ya kutengeneza web app kwa ajili yetu tutengeneze. builder hii haihitaji ujue language yoyote ya code just drag and drop hadi app inaisha. na pia cha maana sana utaweza kuieka app store yaani ovi.
kutengeneza app nenda hapa http://xpresswebapps.nokia.com
hebu cheki video ya beni na app yake hapa
mi ngoja nkatengeneze yangu
Last edited by a moderator: