Nokia android smartphone ujio wake bado kizungumkuti

PureView zeiss

JF-Expert Member
Sep 5, 2016
8,919
29,291
Ni takribani miezi 6 imepita tangia kampuni ya simu ya nokia kuingia kwenye platform ya android ambayo inaushindini wa hali ya juu katika medani za smartphone
tulishuhudia simu 3 za kisasa zikizinduliwa pale china yaani nokia 3,5 na 6 lakini cha kushangaza mpaka leo simu hizi zimeshindwa kuingia global market.mfano halisi ni pale nchini india ambapo HMD global walihaidi kuanza mauzo ya simu hizi cha kushangaza wameanza kuuza toleo la nokia 3 huku nokia 5,6 zikisubiri hadi mwezi july

wapenzi wengi wa nokia duniani hasa ulaya wamesikitishwa na kuchoshwa kwa kampuni hii ya HMD kushindwa kucompete na manufacturer wengine,hata huku bongo tulihaidiwa simu hizi zitaingia mwezi huu

bora niangalie simu kama samsung J 7(2017) labda itanifaa kuliko kuisubiri nokia 6 hadi mwakani
Noka-6-Tempered-Blue-JD.com_.jpg
Noka-6-Tempered-Blue-JD.com_.jpg
Noka-6-Tempered-Blue-JD.com_.jpg
Noka-6-Tempered-Blue-JD.com_.jpg
Noka-6-Tempered-Blue-JD.com_.jpg
 
tayari zimeanza kuuzwa wiki hii dunia nzima, kuna baadhi ya watu naona wanauza hapa bongo ila 850,000. subiria pengine wiki au wiki mbili zitajaa aggrey. sema nina wasi wasi sana na bei tutakazouziwa huku,
 
tayari zimeanza kuuzwa wiki hii dunia nzima, kuna baadhi ya watu naona wanauza hapa bongo ila 850,000. subiria pengine wiki au wiki mbili zitajaa aggrey. sema nina wasi wasi sana na bei tutakazouziwa huku,

Vipi mkuu,samahani mkuu natoka nje ya mada.infinix Note 3 imekaaje mku nataka kuinunua naomba ushauri wako.
 
Nokia alikoseaga padogo tu mpaka samsung akashika namba moja duniani, alipokosea ni yeye kuchelewa kutoa simu za android.
 
tayari zimeanza kuuzwa wiki hii dunia nzima, kuna baadhi ya watu naona wanauza hapa bongo ila 850,000. subiria pengine wiki au wiki mbili zitajaa aggrey. sema nina wasi wasi sana na bei tutakazouziwa huku,
nielekeze kesho nikazicheki pia nimeziona amazon zinauzwa dola 279,au ikishindikana nisubiri nokia 7 au 8
 
nielekeze kesho nikazicheki pia nimeziona amazon zinauzwa dola 279,au ikishindikana nisubiri nokia 7 au 8
kama unamatumizi mengi sd430 ni ndogo sana, subiria sd 660 ambayo ni mziki mnene kwa midrange na tofauti yake na flagship soc kama sd835 ni asilimia kama 15 tu hivi.

hata mimi nasubiria Nokia 7 au 8.

jamaa niliemuona hua anauzia fb tu na mzigo nyumbani mcheki hapa.

High Life Tanzania
 
Vipi mkuu,samahani mkuu natoka nje ya mada.infinix Note 3 imekaaje mku nataka kuinunua naomba ushauri wako.
mkuu huwa kawaida mimi sishauri kabisa watu kununua simu za mediatek, hasa mediatek ambazo ni low end zenye nguvu ndogo.

hii simu processor yake ni quad core 1.3ghz na gpu ya mali T720 ambayo ni vidogo sana,

ukachia hayo ina display ya 1080p na battery ya 4500mah, pia band zake za 4G zinakubali mitandao ya Tanzania,

hivyo unless matumizi yako ni madogo sana ndio uinunue ila kama una matumizi ya kati au makubwa itakuwa slow na kukuzingua.
 
mkuu huwa kawaida mimi sishauri kabisa watu kununua simu za mediatek, hasa mediatek ambazo ni low end zenye nguvu ndogo.

hii simu processor yake ni quad core 1.3ghz na gpu ya mali T720 ambayo ni vidogo sana,

ukachia hayo ina display ya 1080p na battery ya 4500mah, pia band zake za 4G zinakubali mitandao ya Tanzania,

hivyo unless matumizi yako ni madogo sana ndio uinunue ila kama una matumizi ya kati au makubwa itakuwa slow na kukuzingua.

Shukrani mkuu,much appreciated .vipi kuhusu sumsung J7 prime (2017) hii imekaaje?
 
ya kawaida ni nzuri kiasi sema weakness yake kioo sio amoled ni TFT, sijaiona live ila sidhani kama kitakuwa kizuri kama super amoled ya samsung nyengine.

j7 2017 inatoka, kama unaweza subiria hio,

Shukrani mkuu wacha nisubirie ya 2017
 
ya kawaida ni nzuri kiasi sema weakness yake kioo sio amoled ni TFT, sijaiona live ila sidhani kama kitakuwa kizuri kama super amoled ya samsung nyengine.

j7 2017 inatoka, kama unaweza subiria hio,
Chief, Nimeiyona galaxy J7 2017 MAX wametumia SOC za mediatek helio p20 ila RAM DDR4 na ROM 32Gb.. ila J7 pro ina balaa 64 gb but SOC ni exnyos
 
ya kawaida ni nzuri kiasi sema weakness yake kioo sio amoled ni TFT, sijaiona live ila sidhani kama kitakuwa kizuri kama super amoled ya samsung nyengine.

j7 2017 inatoka, kama unaweza subiria hio,
Mm nimetumia J7 prime kioo ndio TFT but kipo vizuri xna kimuonekana,kifupi simu ni nzuri xna.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom