hiyo cm ni ya kchina au nokia orginal na inadai security code au unlock code kama ni nokia org na ujabadili code ukaingiza zako basi ingiza 12345 ikigoma inamana zimebadilishwa mpaka kwa computer au mwenye nayo anazijua code zake ukihitaji msaada zaidi ata kama ni yakichina ni pm
vitu muhimu viwili inahitajika kabla ya ku unlock simu
Service provider which the phone is locked in and country(eg Vodacom( RSA, UK, Tanzania)Orange,Safaricom, etc
Phone IMEI No: This is unique to identify one phone from the other.
Your phone IMEI number is obtained by entering *#06# into the phone. or check behind the battery
NB
You can only make Five(5)attempt to unlock the phone manually. Trying 5 attempts unsucessfully mean u will need to send to unlock it using special sofware
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.