NOKIA 5, 3, 6. Mapinduzi makubwa katika masoko ya simu za mkononi

nipo dissapointed na Nokia 3, soc za mediatek wamezingua, ilileak na snapdragon 425 hope watatoa variant hio. Motorola moto E toka waanze kutumia mediatek ni kama imekufa, wanaacha kujali wateja wanafuata faida.

Nokia 5 naona kama ndio imebalance kwa bei around laki 4 unapata simu nzuri,

hata Nokia 6 sio mbaya japo nilipenda ingekuwa na snapdragon 625.

ngoja tusubirie Nokia 7 na 8 itakuwaje
 
Nokia's Classic 3310 Phone Is Back
Nokia 3310.jpg
 
Vipi kuhusu battery life?? Natamani ije simu yenye uwezo wa kukaa na umeme kipindi kirefu zaidi...hi biashara ya kutembea na cherger au power bank inakera sana

Hilo bado halijajulikana. Hilo natumai litajulikana bidhaa ikishaingia sokoni. Na kwa walivyoahidi zitaanza kuingia sokoni kuanzia robo ya pili ya huu mwaka 2017
 
Tatizo la nokia ni moja2! OS yao, kwa miaka mingi wameng'ang'ania window system! Hapo ndio wanapopigwa bao! Android wamefanikiwa sana africa! Nokia wajitahidi waweze kulitambua hilo...!! Windows kwa Africa imefail..!!
Upo nyuma ya wakati. Ilishatangazwa tangu mwaka jana kuwa ni Android
 
Tatizo la Nokia hawataki kubadilika kuja kwenye Android ndio shida yao ni wahafidhina na simu zao. Angalia sasa wenzao tecno n.k wanapiga hela tuu wakirudi hivi labda itawaweka sawa
 
nipo dissapointed na Nokia 3, soc za mediatek wamezingua, ilileak na snapdragon 425 hope watatoa variant hio. Motorola moto E toka waanze kutumia mediatek ni kama imekufa, wanaacha kujali wateja wanafuata faida.

Nokia 5 naona kama ndio imebalance kwa bei around laki 4 unapata simu nzuri,

hata Nokia 6 sio mbaya japo nilipenda ingekuwa na snapdragon 625.

ngoja tusubirie Nokia 7 na 8 itakuwaje

Yah, Mediatek imeharibu quality zote za simu hiyo. Binafsi nimeipenda Nokia 5, ina form factor nzuri ya 5.2 inches. 5.5 inch display phone ambayo nokia 6 inayo ni kubwa sana kuihandle na kuioperate kwa mkono mmoja na kuweka mfukoni.
 
Tatizo la nokia ni moja2! OS yao, kwa miaka mingi wameng'ang'ania window system! Hapo ndio wanapopigwa bao! Android wamefanikiwa sana africa! Nokia wajitahidi waweze kulitambua hilo...!! Windows kwa Africa imefail..!!
Zina android
 
Karibu tena Nokia. Microsoft walitaka kukupoteza naona umezinduka na kurudi kwenye platform inayokimbiza duniani ya Android
 
"Mapinduzi" maneno mengine nayo sio ya kutumia ku elezea hizi simu anyway bado niko kimya nasubiria high end yao ndio nitoe neno lakini after kuona LG G6 ambaye ndio mbovu wa smartphone kutoa mashine ile sasa fikiria HTC, Samsung na iPhone watatoa nini..

Lakini bora a rudi aue soko la simu za Tecno hapaTanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom