Noisy sex gets man banned from home

BiMkubwa

JF-Expert Member
Jan 9, 2007
529
97
Noisy sex gets man banned from home
A court finds that the couple's antics violate a noise abatement order
The Associated Press
updated 8:49 p.m. ET, Thurs., Aug. 14, 2008

LONDON - A British man has been banned from visiting his girlfriend's home after neighbors complained about noisy sex, a local official said Thursday.

A court barred Adam Hinton, 32, from being within 110 yards of his 29-year-old girlfriend Kerry Norris' apartment, Brighton and Hove City Council spokesman Mike Taggart said.

Residents of Norris's publicly owned home had been complaining since 2006 about thumping music, banging headboards and screamed obscenities, Taggart said.

Neighbors also complained about Norris sunbathing naked in her yard, and were upset that a 6-year-old child in the building had been "subjected to the sort of obscenities you wouldn't want a 6-year-old to hear," the spokesman said.

"She is a classic nightmare neighbor," Taggart said, insisting the case was not about sex. "It's about allowing your neighbors to have a normal decent life without being disturbed."

The court granted the city council's request for an injunction banning Hinton from the apartment because Norris had ignored a previous court order demanding that she be more quiet, Taggart said.

Norris last week was forced to pay $560 in fines and court costs for breaking the "noise abatement order," Taggart said.

Neither Norris or Hinton could be immediately located for comment. Brighton and Hove is located in southern England.
 
wangekuja huku kwetu uswahilini ... nyumba hazina ceiling board kila kitu kiko wazi kama una watoto unawasha radio mwenyewe bila kutumwa .... asubuhi mkionana unainama wewe kwa aibu ... kuna mwanamke mmoja alilalamika kwamba yeye mumewe hulia kama mbuzi / beberu akikata roho sijui ni kweli
 
wangekuja huku kwetu uswahilini ... nyumba hazina ceiling board kila kitu kiko wazi kama una watoto unawasha radio mwenyewe bila kutumwa .... asubuhi mkionana unainama wewe kwa aibu ... kuna mwanamke mmoja alilalamika kwamba yeye mumewe hulia kama mbuzi / beberu akikata roho sijui ni kweli

Dadangu kwenye hizi mada wewe wa kwanza kupost mhhhhhhhh!

She is a classic nightmare!

Haya mambo hapo kwenye kelele ni uzembe tuu.Kwa Ushauri wa bure wale wapiga kelele hamna lolote do pool bed kila siku labda utaacha.
 
Dadangu kwenye hizi mada wewe wa kwanza kupost mhhhhhhhh!

She is a classic nightmare!

Haya mambo hapo kwenye kelele ni uzembe tuu.Kwa Ushauri wa bure wale wapiga kelele hamna lolote do pool bed kila siku labda utaacha.

Tulia mdogo wangu usikie mambo ya dunia .. duniani kuna mambo ... ukianza kushtuka mapema ... shauriyako ... kwani umefuata nini huku kwa wakubwa
 
wangekuja huku kwetu uswahilini ... nyumba hazina ceiling board kila kitu kiko wazi kama una watoto unawasha radio mwenyewe bila kutumwa .... asubuhi mkionana unainama wewe kwa aibu ... kuna mwanamke mmoja alilalamika kwamba yeye mumewe hulia kama mbuzi / beberu akikata roho sijui ni kweli

Bao huwa linakuwa tamu ila kelele zikizidi inakuwa noma, kama kelele ni over and above dawa ni kushindilia tambara mdomoni :) (just kiddin)
 
wangekuja huku kwetu uswahilini ... nyumba hazina ceiling board kila kitu kiko wazi kama una watoto unawasha radio mwenyewe bila kutumwa .... asubuhi mkionana unainama wewe kwa aibu ... kuna mwanamke mmoja alilalamika kwamba yeye mumewe hulia kama mbuzi / beberu akikata roho sijui ni kweli

LOL!...Naima, aibu ya nini na mtu alikuwa anajiburudisha na mamsap wake!!!
 
Bao huwa linakuwa tamu ila kelele zikizidi inakuwa noma, kama kelele ni over and above dawa ni kushindilia tambara mdomoni :) (just kiddin)

Hahahha mzee inaonekana mzoefu sana wa kunyazima kelele za kimahaba, sasa kama ni kaka anaye piga kelele inakuwaje? naye azamishwe tambara?

Ushi
 
Hahahha mzee inaonekana mzoefu sana wa kunyazima kelele za kimahaba, sasa kama ni kaka anaye piga kelele inakuwaje? naye azamishwe tambara?

Ushi

LOL! Ushi....Hata kama ni kaka weka kitambaa pembeni akianza kupiga mayowe basi ashindiliwe kitambaa mdomoni...nyumba za kupanga zina matatizo yake!! Ukiwa na nyumba yako kila kitu ni mswano tu.
 
wangekuja huku kwetu uswahilini ... nyumba hazina ceiling board kila kitu kiko wazi kama una watoto unawasha radio mwenyewe bila kutumwa .... asubuhi mkionana unainama wewe kwa aibu ... kuna mwanamke mmoja alilalamika kwamba yeye mumewe hulia kama mbuzi / beberu akikata roho sijui ni kweli


Hii ni kweli kabisa Naima, Kuna mmoja yeye akikaribia anaanza, "hodi!, hodi!, hodi!, Hoooooooodiiii!" Kwa sauti ya kutetemeka na kisha anaapoanza kupiga bao hunena lugha ya ajabu kama mtu anaweweseka usingizini mpaka anamaliza.
 
Hii ni kweli kabisa Naima, Kuna mmoja yeye akikaribia anaanza, "hodi!, hodi!, hodi!, Hoooooooodiiii!" Kwa sauti ya kutetemeka na kisha anaapoanza kupiga bao hunena lugha ya ajabu kama mtu anaweweseka usingizini mpaka anamaliza.

Hii Kali kabisa!! kuna mdada mmoja alinisimulia kuwa aliachana na boyfriend wake maana njemba inapokaribia huwa inazimia kwa sekunde kadhaa kwa kupoteza fahamu, dada wa watu aliona jamaa asije mfia bure ikawa kesi ya mauwaji..kuna mambo kwenye hii kitu...

Ushi
 
Hii Kali kabisa!! kuna mdada mmoja alinisimulia kuwa aliachana na boyfriend wake maana njemba inapokaribia huwa inazimia kwa sekunde kadhaa kwa kupoteza fahamu, dada wa watu aliona jamaa asije mfia bure ikawa kesi ya mauwaji..kuna mambo kwenye hii kitu...

Ushi


Huyo akafanye check up ya MRI wajue kulikoni. Ndio ukute mtu wa aina hiyo anakata roho ghafla wachawi wanaanza kutafutwa.
 
Simulizi ya kweli na imetokea mitaa ya Sinza karibu sana na kanisa la Sabato lililopo karibu kabisa na daraja linalounganisha Sinza na Tandale uzuri. Kuna nyumba moja ya wapangaji lisilokuwa na dari.
Kama kawaida ya wanawake wa kiswahili kushindana mavazi, chakula and the like. There was a lady who was engaged to someone I know and was living in that house. Basi mashindano yakahamia kwenye kule kwenyewe, yaani nani anampa raha mumewe kuliko mwingine. Kipimo ilikuwa ukelele atakyotoa mume.
Mwenye kushinda ni yule atakayewatia wivu na donge wenzake. Ilianza kama mzaha, mmoja alifanikiwa siku hiyo, akajua amewakata kilimilimi. Mwe! Usiku huo ilikuwa patashika kwa wenzake wawili, kuhakikisha wanaweka rekodi na wao. na kweli wakafanikiwa. Mwenye kuyaanzisha akasema atawaonyesha njia kuwa yeye ni kawaida yake. Basi it went on for sometime, mpaka masikini wale waume zao wakajikuta wako katikati ya mashindano hayo bila kujitambua.
I do not know how it went ila mmoja wao aliyekuwa dereva wa wizara moja akajitutumua na kununua boards za kuweka dari. Mashindano yakahamia kwa mavazi ya watoto. Its quite sometime but this is a true story.

Therefore kama uko katika mazingira kama hayo usishangae unakatikiwa viuno kupita kiasi ukafikiri mzuka umempanda mtu..........:)
 
Hii ni kweli kabisa Naima, Kuna mmoja yeye akikaribia anaanza, "hodi!, hodi!, hodi!, Hoooooooodiiii!" Kwa sauti ya kutetemeka na kisha anaapoanza kupiga bao hunena lugha ya ajabu kama mtu anaweweseka usingizini mpaka anamaliza.

m m m m m, JF kuna mambo, haya hodi karibu!
 
Hii ni kweli kabisa Naima, Kuna mmoja yeye akikaribia anaanza, "hodi!, hodi!, hodi!, Hoooooooodiiii!" Kwa sauti ya kutetemeka na kisha anaapoanza kupiga bao hunena lugha ya ajabu kama mtu anaweweseka usingizini mpaka anamaliza.

Ana pepo huyo. anaweza hata kukutwanga mingumi
 
wangekuja huku kwetu uswahilini ... nyumba hazina ceiling board kila kitu kiko wazi kama una watoto unawasha radio mwenyewe bila kutumwa .... asubuhi mkionana unainama wewe kwa aibu ... kuna mwanamke mmoja alilalamika kwamba yeye mumewe hulia kama mbuzi / beberu akikata roho sijui ni kweli

Duh!
Kutoa milio ya kimahaba nafikiri ni natural tatizo linakuja pale ambapo hizo sauti zinapitiliza...
 
Duh!
Kutoa milio ya kimahaba nafikiri ni natural tatizo linakuja pale ambapo hizo sauti zinapitiliza...

Dmussa hebu msome Hofstede na staili ya hoooodi ... balaa ... tukisema kila mmoja aweke wazi style yake ... itakaaje hiyo

Kweli mtu akipitiliza tena inakuwa karaha ... je wa kimyakimya anamaana hapati raha ??
 
....... tukisema kila mmoja aweke wazi style yake ... itakaaje hiyo??[/QUOTE said:
Nimeipenda hiyo suggestion yako, definetly i was thinking the same...ivi kila mtu angetambia mzuka wake huwa unapandaje then tungalijikuta the man is certainly innocent....Kaaaazii kweli kweli!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom