winnerian
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 334
- 530
Noamba ushauri wako nini kifanyeke maalumu kabisa kwa ajili ya TANZANIA kupiga hatua za haraka sana kufikia malengo ya kuwa nchi yenye uchumu wa kati na zaidi ya hapo. Nipo serious sana shauri bila kuchanganya siasa na mambo mengine yasiokuwa na tija katika kuletea taifa la TANZANIA maendeleo. Ukitoa ushauri wako achana kabisa na ccm na chadema na ujinga mwingine woote jaribu kuwa practical zaidi tufanye nini.
Nipo ughaibuni huku naona aibu sana kuona wenzetu walivyoendelea nikitazama kwetu palivyo na yanayoendelea 😱😱😱😱
Nipo ughaibuni huku naona aibu sana kuona wenzetu walivyoendelea nikitazama kwetu palivyo na yanayoendelea 😱😱😱😱