KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,149
- 4,752
Nina gari aina ya Noah new shape injin ya 1az.. Sasa limekua likisumbua miss muda mrefu hatimaye limebadilishwa vitu kabao hadi Sasa bado halijaaa sawa...
Shida ya sasa ni kwamba asubuhi ukiliwasha badala ya kuleta Ile kama resi hadi oil upande ndo litulie limekua likileta miss na some times had upige ress kidogo ndo litakaa sawa.
Na la pili ni kwamba wakali linatembea barabaran gafla linawaka taa ya check injin na linaendelea kwenda lakini muda mwingine linazima gafla ukitaka kuliwasha unakuta halionesh taa ya injin na betri so had zijitokeze ndio linawaka inaakua kama Kuna wire zinacheza sasa mafundi wamehangaika nalo limeshindikana
sent from HUAWEI
Shida ya sasa ni kwamba asubuhi ukiliwasha badala ya kuleta Ile kama resi hadi oil upande ndo litulie limekua likileta miss na some times had upige ress kidogo ndo litakaa sawa.
Na la pili ni kwamba wakali linatembea barabaran gafla linawaka taa ya check injin na linaendelea kwenda lakini muda mwingine linazima gafla ukitaka kuliwasha unakuta halionesh taa ya injin na betri so had zijitokeze ndio linawaka inaakua kama Kuna wire zinacheza sasa mafundi wamehangaika nalo limeshindikana
sent from HUAWEI