Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Tangu uumbwaji wa dunia hadi leo mtu mweusi amekuwa akinyanyaswa sana na kubaguliwa hasa na mtu mweupe.
Kwa upande wangu nahisi kuna kitu huko nyuma mtu mweusi alikifanya ikapelekea chanzo hiki, either alimuudhi mtu mweupe au alimfanyia na hakupendezwa nacho.
Ni wakati wa kufikiria kwa jicho la tatu kwamba kuna cha ziada katika chuki ya mtu mweupe kwa mtu mweusi? Tufikirie kwa pamoja leo kuna ovu gani ambalo mtu mweusi amelitenda kihistoria hadi kufikia hatua ya kudhaurika na kunyanyaswa na mtu mweupe??
NO ROOM FOR RACISM
Kwa upande wangu nahisi kuna kitu huko nyuma mtu mweusi alikifanya ikapelekea chanzo hiki, either alimuudhi mtu mweupe au alimfanyia na hakupendezwa nacho.
Ni wakati wa kufikiria kwa jicho la tatu kwamba kuna cha ziada katika chuki ya mtu mweupe kwa mtu mweusi? Tufikirie kwa pamoja leo kuna ovu gani ambalo mtu mweusi amelitenda kihistoria hadi kufikia hatua ya kudhaurika na kunyanyaswa na mtu mweupe??
NO ROOM FOR RACISM