GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Nipo Dodoma kwa muda kidogo, Vichekesho ninavyokutana navyo huku vinasikitisha sana Katika mfumo wetu wa elimu
Kazi za sasa ni kujieleza vizuri kwenye Usahili na kujiamini lakini kwa kizazi hiki inasikitisha sana
Watoto wa maskini waliosoma shule za Kawaida utawaonea huruma huko Makazini na kwenye Usahili au Interview
Na sasa ukishaona mjadala utakuwa mrefu sana waajiri wengi wanaamua kutumia Kiingereza, Hapa ndio kimepelekea niandike uzi huu
Watoto wa maskini ambao wanasisitizwa kusoma kiswahili utawaonea huruma, akiulizwa kitu kuhusu haki zake au malalamiko yake kwa Kiingereza hata kama anayo lakini kwa kushindwa kumudu lugha utasikia Yes sir, Yes Sir No problem, No problem
No problem sio kwamba hana matatizo yanayomsibu bali kufupisha mambo na kushindwa kujieleza anaamua kusema No problem, No problem sir
Mimi ni mwana siasa lakini kwenye lugha ya watoto wetu tuchague lugha moja
Kazi za sasa ni kujieleza vizuri kwenye Usahili na kujiamini lakini kwa kizazi hiki inasikitisha sana
Watoto wa maskini waliosoma shule za Kawaida utawaonea huruma huko Makazini na kwenye Usahili au Interview
Na sasa ukishaona mjadala utakuwa mrefu sana waajiri wengi wanaamua kutumia Kiingereza, Hapa ndio kimepelekea niandike uzi huu
Watoto wa maskini ambao wanasisitizwa kusoma kiswahili utawaonea huruma, akiulizwa kitu kuhusu haki zake au malalamiko yake kwa Kiingereza hata kama anayo lakini kwa kushindwa kumudu lugha utasikia Yes sir, Yes Sir No problem, No problem
No problem sio kwamba hana matatizo yanayomsibu bali kufupisha mambo na kushindwa kujieleza anaamua kusema No problem, No problem sir
Mimi ni mwana siasa lakini kwenye lugha ya watoto wetu tuchague lugha moja