KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,595
Mimi napata tabu sana kuelewa mawazo ya watu!!hivi humu JF ni sehemu ya watu wanaobarehe??aiingii akirini umepata demu wako umegonga unakuja kuanika huku,huu nadhani siyo usitaarabu hata kidogo,zamani ukipata demu kipindi cha barehe ndo unaenda kuhadithia! sasa humu kumegeuka hivyo!!No more Great thinker??:angry: