Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Hiyo "great thinker" tumejibatiza wenyewe, great thinkers gani wanafikiria ya kwenye chupi saa zote?
Nani alituita sisi great thinkers"?
Kuna maeneo mbali mbali mpenzi humu hapa ulipo si mahali pake, ila naona hata wewe mwenyewe huwezi ishi bila kuingia MMU hii inaonyesha kwamba kila mtu akifika hapa anaacha mambo mengine kwenye majukwaa mengine anaanza kula raha hapa