October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
Kuna ugonjwa unaitwa NO-MONEYPHOBIA huu nahisi ninao huu ugonjwa...hii ni hali inayotokea endapo huna pesa unakuwa huwelewi kabisa kama siku onaona haiendi haraka yaani, unaweza ukawa unahisihisi njaa, yaani kama unapagawa ila ukizikamata pesa unaona mpaka hewa unayovuta iko Fresh iyo siku una vibe sana hata njaanjaa za kijinga huzisikii.
Twende
Twende